Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
Huu mtandao umekuwa wa ajabu sana. Watu wanatuma Miamala sms hazirudi kwa wakati, wananunia LUKU sms hawazipati, Internet yao ni weak kupita maelezo. Mbaya zaidi customer care services simu zao hazipatikani kabisa.
Mtando umekuwa wa hovyo sana, huku ni kupoteza wateja. Kama kuna tatizo la kiufundi mnashindwa nini kutoa taarifa kwa uma?
Mtando umekuwa wa hovyo sana, huku ni kupoteza wateja. Kama kuna tatizo la kiufundi mnashindwa nini kutoa taarifa kwa uma?