Nyamtalakyono
JF-Expert Member
- Dec 17, 2015
- 795
- 479
Napenda kuwapongeza kwa huduma mlizonazizito kupitia mtandao wenu. Lakini ni muda sasa takribani wiki 3 huku Serengeti tumekuwa tukiweka bundle lakini ni Kama zinapotea bure maana mtandao uko chini na huwezi mpigia simu mtu.
Sasa naomba either mtupe wateja wenu nini kinajiri au mrekebishe mtandao wenu ili msitupotezee pesa zetu na kuturudisha kwenye uchumi wa chini wakati tupo kwenye uchumi wa kati.
Maana hii naiona ni Kama ni kutuhujumu watumiaji wa mtandao wenu. Mathalani sasa nalazimika kutumia laini nyingine kufanya mawasiliano na kutumia gharama kubwa.
Sasa naomba either mtupe wateja wenu nini kinajiri au mrekebishe mtandao wenu ili msitupotezee pesa zetu na kuturudisha kwenye uchumi wa chini wakati tupo kwenye uchumi wa kati.
Maana hii naiona ni Kama ni kutuhujumu watumiaji wa mtandao wenu. Mathalani sasa nalazimika kutumia laini nyingine kufanya mawasiliano na kutumia gharama kubwa.