leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,295
- 1,687
Leo watu wanaondoka na seti kamili..... record mpya inawekwa MisriSisi Waarabu wa Tanzania leo tupo pamoja na waarabu wenzetu Al Ahly, Wamatumbi wa K/Koo mtatusamehe leo.
Muhimu msifungwe zaidi ya goli 5 maana mtatutia aibu sote, ila kuanzia 5 na chini ya hapo kawaida tu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Warudi bongo waendelee kula starehe maana ndio wanachojuaMpaka sasa tumecheza dk 130 pamoja na zile za kule kongo, tumegongwa 10 hii simba hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo wanapigwa 8,.. labda tu wagome kuingiza team uwanjani sec.halfMatokeo haya yananikumbuka 2010 Simba na Haras al hadood ,mnyama alikufa 5 - 1 ,mji na uwanja huo huo wa Leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba anaweza maliza kundi na pwenti tatu zile zile
Mkono tayari kipindi cha kwanza tu, aibuMimi simba ila tuweke uhalisia, simba haiwezi ifunga al ahly, hata droo. Leo tuepuke aibu tusipigwe zaidi ya mkono.
Sio kwa vita na al ahly, mkuu tuweke uhalisia sio ule ushabiki wetu na mpirq wa magazetini.
bao zinarudi mkuu
Utamfunga al ahly hapa bongo?as vita nae?
huyo anaye kupiga kama nyau yanga tulimkimbiza mwanzo mwisho kama si ujinga wa bahanuzi tungemtoa kwenye mashindanoMbona vyura ndio mnashadadia sana huu uzi? Kwani nyie mnacheza lini?
Au bado mko dimbwini pale jangwani mnaogelea matopeni?
Jamaa wanakikosi kipana