GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Nzi ni mmoja wa wadudu ambao hawana sifa nzuri katika maisha ya binadamu. Mdudu huyu ambaye haumi hata kidogo zaidi ya kupiga kelele na kutua kwenye uchafu amekuwa na madhara makubwa kwa binadamu kuliko nyuki.
Waswahili wanasema inzi angecha ujinga angetoa asali. Mimi sijawahi ona inzi hata ana dalili za kutoa utomvu acha asali.inzi hawezi acha ujinga.sababu ujinga ndo yeye.
Anapotua inzi huacha vijidudu vya magonjwa.na watu wengi huchukia tabia za inzi za kubeba uchafu huko na kuleta kwenye vyakula.anapotua kwenye chakula utamwona akipukutisha uchafu ulioko mikononi mwake na miguu mwake.
Anasema "natoa uchafu wa mbele na natoa uchafu wa nyuma" halafu ataondoka kwa furaha.
Inzi huwa hana mvuto.hata ukiwaona wale wenye rangi ya kijani au blue inayometa meta.watoto huwaita inzi wa kizungu.bado usidhani huyo atependwa au kuheshimiwa.sababu wanadamu wastaarabu wanajua inzi huo kavaa joho zuri lakini tabia yake ni ile ile ya uchafu.
Nasisitiza INZI HAWEZI ACHA UJINGA AWE KAMA NYUKI AU ATOE ASALI. inzi siku zote atatoa uchafu na kuchafua hali ya hewa. Usije ukadhani eti inzi akivaa joho zuri atakuwa na akili.azitoe wapi? Inzi hawezi acha ujinga sababu ujinga ndio inzi mwenyewe.
Mwacheni Makonda anene yaujazayo moyo wake. Mlipaswa kujikitika kwenye mambo ya msingi.mwacheni makonda awe makonda.
Waswahili wanasema inzi angecha ujinga angetoa asali. Mimi sijawahi ona inzi hata ana dalili za kutoa utomvu acha asali.inzi hawezi acha ujinga.sababu ujinga ndo yeye.
Anapotua inzi huacha vijidudu vya magonjwa.na watu wengi huchukia tabia za inzi za kubeba uchafu huko na kuleta kwenye vyakula.anapotua kwenye chakula utamwona akipukutisha uchafu ulioko mikononi mwake na miguu mwake.
Anasema "natoa uchafu wa mbele na natoa uchafu wa nyuma" halafu ataondoka kwa furaha.
Inzi huwa hana mvuto.hata ukiwaona wale wenye rangi ya kijani au blue inayometa meta.watoto huwaita inzi wa kizungu.bado usidhani huyo atependwa au kuheshimiwa.sababu wanadamu wastaarabu wanajua inzi huo kavaa joho zuri lakini tabia yake ni ile ile ya uchafu.
Nasisitiza INZI HAWEZI ACHA UJINGA AWE KAMA NYUKI AU ATOE ASALI. inzi siku zote atatoa uchafu na kuchafua hali ya hewa. Usije ukadhani eti inzi akivaa joho zuri atakuwa na akili.azitoe wapi? Inzi hawezi acha ujinga sababu ujinga ndio inzi mwenyewe.
Mwacheni Makonda anene yaujazayo moyo wake. Mlipaswa kujikitika kwenye mambo ya msingi.mwacheni makonda awe makonda.