Feyanga
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 223
- 89
Napiga sana chabo, nilienda kwa Mtume Nabii akaniambia eti nina Jini Machabo...
Hahahahhaha haya bwana!
Sent from my BlackBerry Porsche using JamiiForums
Napiga sana chabo, nilienda kwa Mtume Nabii akaniambia eti nina Jini Machabo...
Cantalisia na wenzako msije mkachangia hii maneno, nitawaachia radhi mtembee makalio nje............... LOL
dua la kuku halimpati mwewe kamwe.:whoo::whoo:
Ngoja waje wanao waone maujanja ya dingi wao ndo tujue pa kuanzia.
Huyu baba yetu jaman natafuta mtu atakaeweza kumtoa huyo pepo wa downstea maana anabadili stail ya vituko tu!
FirstLady1 - Lakini siku moja moja huwa naibilizia..................................LOLOoops bora umeacha
Kweli hii nayo ni tabia mbaya.............. Mie mwenyewe hapa mama Ngina kanikodolea macho kwa hasira. maana ananisemesha hata simjibu, niko bize na JF :typing: