Paloma
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 5,332
- 4,951
kwani kuna nn hapa Paloo?
si ulikuwa unamtafuta babu asproooo
btw nimekumiss sana caisoooor
kwani kuna nn hapa Paloo?
Hata hivyo ninalo ombi moja kwa wadau wa humu JF.
Kama kuna mtu yeyote mwenye ushauri au changamoto kuhusiana na mada zangu naomba auweka hapa ili niweze kujua kama kuna mapungufu ambayo natakiwa kuyafanyia kazi.
Ahsante
Mtambuzi
Afu weweee.... dawa yako inachemka.
Mbon safo Palooo!!!
Hebu twende wozap nikakuonyeshe kitu changu.