REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,449
- 9,372
Dah! Mzee tuingie ubia hapo REA kaanza kutapakaa ila naimani tutauza pia bei jaribu kupunguza nifanye iwe affordable kidogo
TutafutaneDah! Mzee tuingie ubia hapo REA kaanza kutapakaa ila naimani tutauza pia bei jaribu kupunguza nifanye iwe affordable kidogo
Uko vizuri sana kaka mfano huku kwetu sehem nyingi hazina umeme aseTutafutane
Mkuu hii inatumia Jua kama chanzo cha nishati,Ukikosa jua maana yake haiwezi chaji bank yake.Kuna mdau ameuliza hapo je vipi kuhusu majira ya mvua ambapo jua hupatikana kwa shida, mashine ufanyaji kazi wake ukoje?