Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,744
Wakati anahamia CHADEMA kutoka chama kingine cha siasa, niliweka maoni yangu wazi kwamba SIJAWAHI kumuamini na anapaswa kuogopwa katika siasa za vyama.
Anguko la Mrema na NCCR-Mageuzi ilikuwa ni sehemu ya kazi yake,
Kinacholeta ukakasi ni kwamba, wanasiasa wote waliotoka CCM kwa minajili ya kutoa upinzani wa dhati waliishia kutiwa misukosuko na hata kufilisiwa na hatimaye kulazimishwa kufa kisiasa na kurejea CCM. Pia ikumbukwe kwamba Tangu aibukie upinzani, Mwanasiasa huyu hajawahi kupata misukosuko na kizuri zaidi anafanikiwa sana ktk nyanja zote kimaisha.
Turudi kwenye random info
Alijitetea kwenye majukwaa ya siasa kwamba kuwatetea kwake mafisadi wa EPA mahakamani hakuhusiani na siasa za chama chake ktk kupambana na ufisadi, Na akasema yeye ni kama daktari hivyo hakatai mgonjwa. Ikumbukwe kwamba kesi za Mahakama kuu pekee ndizo ambazo WAKILI hana hiyari endapo atapangiwa kumtetea mtuhumiwa wa Jamhuri, Lakini kwenye mahakama za chini hakuna ULAZIMA wa wakili kusimama na kumkingia kifua public enemy ambaye yeye anahusika na presha zilizosukuma dola kuchukua hatua dhidi ya mtuhumiwa.
Twende sasa, majuzi hapa alifanya kosa ambalo mtu wa kawaida hajuzu kufanya, yaani kureveal majina ya UwT ambao wanatuhumiwa kufanikisha deal la Lwakatare, na serikali ikatishia kuchukua hatua na mpaka sasa hakuna lililotokea.
Siri nyingi za CCM na serikali yake zinavuja kwa mpangilio maalum, na ikumbukwe kwamba hata Dr. Slaa alishawahi kukiri kuwa sehemu kubwa ya UWT wanapeleka taarifa kwake, lakini kiuhalisia ni kwamba huyu bwana yupo nyuma ya haya yote. Na hata mipango mingi ya CHADEMA yenye manufaa kwa taifa imekuwa inavuja kwa CCM ambapo wanaidaka hoja hewani na kujimilikisha ili kupata reputation mbele ya jamii.
Nikiongelea tukio la hivi majuzi la kifo cha kutatanisha cha afisa UWT ambapo in connection kifo cha Imran Kombe kinahusika ktk utata huo pia, ni wazi kwamba kuna ujumbe mahususi [kwa mujibu wa watoa maoni] unatumwa kwa wanaovujisha siri MFU za serikali, hasa zile zinazohusu namna taifa linavyotafunwa kisawasawa na watu wachache. Ninapata nguvu ya kuamini kwamba huyu bwana yupo behind all these, yaani to unmask Romans.
Simsemi mwingine bali Mabere Marando. Ni hatari kwa afya ya siasa za vyama vingi.
NIMESEMA
Anguko la Mrema na NCCR-Mageuzi ilikuwa ni sehemu ya kazi yake,
Kinacholeta ukakasi ni kwamba, wanasiasa wote waliotoka CCM kwa minajili ya kutoa upinzani wa dhati waliishia kutiwa misukosuko na hata kufilisiwa na hatimaye kulazimishwa kufa kisiasa na kurejea CCM. Pia ikumbukwe kwamba Tangu aibukie upinzani, Mwanasiasa huyu hajawahi kupata misukosuko na kizuri zaidi anafanikiwa sana ktk nyanja zote kimaisha.
Turudi kwenye random info
Alijitetea kwenye majukwaa ya siasa kwamba kuwatetea kwake mafisadi wa EPA mahakamani hakuhusiani na siasa za chama chake ktk kupambana na ufisadi, Na akasema yeye ni kama daktari hivyo hakatai mgonjwa. Ikumbukwe kwamba kesi za Mahakama kuu pekee ndizo ambazo WAKILI hana hiyari endapo atapangiwa kumtetea mtuhumiwa wa Jamhuri, Lakini kwenye mahakama za chini hakuna ULAZIMA wa wakili kusimama na kumkingia kifua public enemy ambaye yeye anahusika na presha zilizosukuma dola kuchukua hatua dhidi ya mtuhumiwa.
Twende sasa, majuzi hapa alifanya kosa ambalo mtu wa kawaida hajuzu kufanya, yaani kureveal majina ya UwT ambao wanatuhumiwa kufanikisha deal la Lwakatare, na serikali ikatishia kuchukua hatua na mpaka sasa hakuna lililotokea.
Siri nyingi za CCM na serikali yake zinavuja kwa mpangilio maalum, na ikumbukwe kwamba hata Dr. Slaa alishawahi kukiri kuwa sehemu kubwa ya UWT wanapeleka taarifa kwake, lakini kiuhalisia ni kwamba huyu bwana yupo nyuma ya haya yote. Na hata mipango mingi ya CHADEMA yenye manufaa kwa taifa imekuwa inavuja kwa CCM ambapo wanaidaka hoja hewani na kujimilikisha ili kupata reputation mbele ya jamii.
Nikiongelea tukio la hivi majuzi la kifo cha kutatanisha cha afisa UWT ambapo in connection kifo cha Imran Kombe kinahusika ktk utata huo pia, ni wazi kwamba kuna ujumbe mahususi [kwa mujibu wa watoa maoni] unatumwa kwa wanaovujisha siri MFU za serikali, hasa zile zinazohusu namna taifa linavyotafunwa kisawasawa na watu wachache. Ninapata nguvu ya kuamini kwamba huyu bwana yupo behind all these, yaani to unmask Romans.
Simsemi mwingine bali Mabere Marando. Ni hatari kwa afya ya siasa za vyama vingi.
NIMESEMA