mtaka cha mvunguni????????

cheusimangala

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
2,585
497
new-11.jpg
 
I like your arguments Maria.
Kweli picha inatoa taswira nyingi sana, lakini nahisi hiyo kamera ya jamaa ilikuwa na matatizo maana mmanga kakomaa ile mbaya. Mchizi na kimwana, jamaa na kamera mmanga na nyaya full bize...
 
Usanii kazi sana..hasa inapokuwa kuna waigizaji wanafunzi mambo yanakuwa magumu zaidi..mbinu zote mbadala lazima zitumike kupata scene!
 
Cheusi..mbona hilo gauni la msanii linafanana sana na avatar yako? Hasa huko kuwaka waka...au ni picha yako halisi?
 
Back
Top Bottom