Anataka nini?Bebii umechokoza mambo, ona sasa kila mtu anataka.
Ni kweli mkuu naona wanataka kutofautisha Mods, Premium Members (na hawa naona wapo kama wa aina tatu hivi) na Members wengine lakini sasa kinachotokea hata hao members wengine wanakuwa hawaonekani kabisahalafu na hizi rangi tofauti za IDs walizoweka inakuwa ngumu kuzisoma.
Wengine sio wenyeji sana humu.....basi mi nlijua "like" imeireplace "thanks" kumbe sivyo??