city center
JF-Expert Member
- Jun 27, 2018
- 212
- 261
daily mkuu.
kwa dar inawezekana.
2% hio ni minimum net profit
daily mkuu.
Kama upo dar halafu so Bishoo tafuta Bajaji used ya ukweli tafuta root iliyochangamka endesha mwenyewe Kuwa serious amka Mapema utapiga hela Kama so chapombe,mademu,mzee WA mikeka and the like hela inarudi within 4 month unaanza Kula Faida ukitaka unaweza nunua Mpya after miez 6/7 ukilaza chini ya 900k per month ukitoa takataka zote za matumizi jitafakari Sana.
Fungua duka la vifaa vya pikipiki tafuta center na fundi mzuri hutojutia mimi hii biashara imenipa maisha kwa kiasi fulani ni nzuri sanaKama kichwa cha habari kinavyojieleza nimeingia mtaani nimejipiga piga nikapambanana nikapata hela milioni nne nilikuwa naomba wazo naweza nikafanya biashara gani mana nilitaman sana kufanya biashara ya kusafiri ila naomba wazo ndugu zangu ni biashara ipi ntatoka haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi hukoMkuu ina maana huna cha kufanya kwenye hiyo pesa?,leta tuwekeze mkuu kwenye bonge la biashara ambayo kila wiki utakuwa unapata si chini ya laki
Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie..
Biashara gani mkuu? si ungeitaja hapa ili mamilionea tuwekeze?Mkuu ina maana huna cha kufanya kwenye hiyo pesa?,leta tuwekeze mkuu kwenye bonge la biashara ambayo kila wiki utakuwa unapata si chini ya laki
Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie..
Mkuu kuna mazingira, mfano mi kuna biashara nilikuwa naifanya ila kwa sasa haitoki vizuri wateja wangu wanasingizia corona, so nafikiria nidivert kwa biashara ingine ambayo sijaijua mpk sasa..mtaji upo kidogo wa 2ml lkn sijajua nifanye kipi kuzalisha hela yangu. Hivyo mjasiriamali mwenzangu asaidiwe Kwa mawazo tusaidike wengi.Mkuu ina maana huna cha kufanya kwenye hiyo pesa?,leta tuwekeze mkuu kwenye bonge la biashara ambayo kila wiki utakuwa unapata si chini ya laki
Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie..
Biashara bila usimamizi , acha kuchekesha watuWANA JF, HAYA MAMBO HAYAFANANI KABISA, HUYU ALIKUWA NA MTAJI NA ANA MUDA WA KUFANYA BIASHARA. MIMI NIMEOMBA KUJUA BIASHARA YA KUFANYA WAKATI NIKIWA KAZINI, YAANI BILA KUWA NA MUDA MWINGI WA KUSIMAMIA BIASHARA HIYO.
Ina maana hujaona ushauri alokupa hapo mwisho?Tunajari mkuu...
Ila kujua dini ndo utoe mawazo ni umaskini wa fikra mkuu....
Jikite hapo kwenye mtaji wangu then toa ushauri...
Dini tumuachie muumbaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh ndiyo napitia kwa mara nyingine hapa ndi nauona mkuu ....