Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,820
Nafikiri ni makuruhu na sio haram
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Kilindi kakusanye mzigo wa tumbaku la ugoro hela yote! after 2months utauza kila mgomba sh70k wakati wewe umenunua kwa sh30k. Hii ni biashara nzuri sana shk wangu na inalipa zaidi ikiwa utaprocess mwenyewe ugoro na kuuza mombasa,zanzibar na dar! Habari ya dini weka kando kidogo coz mi mwenyewe msuni hapa kidevu ka beberu lakini natamba na hii kitu na siachi mpaka siku ya kiama!
Sent using Jamii Forums mobile app