CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,912
Wakuu muda umefika sisi kama vijana wakitanzania kuwa na aidea ambazo ni sustainale, Tuachane na biashara za uchuzi na tufanye project zenye feature kwaa baadae,
Safari ya maisha yako katika biashara inaanzia hapa, Ni bora unapo kuwa na wazo la biashara kuwa na wazo la kudumu miaka 100 ijayo hata kama hutakuwepo duniani kipindi hicho ila biashara yako itakuwepo,
Watu kama hawa waliangalia mbali sana
1. Michaele Dell- Ingawa hayupo Duniani ila kazi yake ipo, huyu jamaa hakuangalia kwenye kupata faida ya muda mfupi
2. Honda- Hon da hayupo duniani- Ila kazi yake bado ipo
3. Henry Ford- Aliona mbali sana
Wako wengi sana, Kuna post nili iweka humu Kuhusu CHINA ingawa watu hatutaki kuisoma ila ina ujumbe mkubwa sana, CHINA KUNA WATU WANAANZA TRANSPORT COMPANY NA BAISKELI LAKINI MWISHO WA SIKU WANAKUJA KUMILIKI MAGARI MAKUBWA YA MIZIGO huyu aliona mbali na alivyo anza Transport company na baiskeli pekee alijua anako tarajia kuwepo siku moja,
Wakuu turudu kwetu, UNAPO KUJA NA WAZO HAKIKISHA WAZO LAKO HALIISHII NJIANA NA HAKIKISHA NI SUSTAINABLE WAZO,
Mfano
1. Kuuza Mitumba- Hapa hakikisha unataka kuwa wapi siku moja? Je kuuza mitumba Dunia nzima?
2. Ukianza Biashara ya Mugahawa jiulize unataka kuwa wapi siku moja? Je unataka kuwa na migahwa East and Centre Africa?
3. Samaki- Je unataka kufika wapi na hao samaki?
4. Salooni- Je unata kufika wapi na saluni?
5. Tex- Je lengo lako ni nini? Je ni siku moja kuwa na kampuni kubwa ya Tax Africa?
6. Kufuga kuku- Je unataka kuwa na nini katika hii biashara ya kuku?
7. Kufuga ngo'ombe- Je unataka kuwa wapi siku moja na ufugaji ngo'ombe?
WAKUU TUMEKUWA TUKIFANYA BIASHARA KAMA ZIMA MOTO- Leo utasikia anafuga kuku. kesho kaisha acha kuku ana miliki Tex; kesho kutwa kaachana na Tex ana miliki kibanda cha M- pesa, mara kaacha kibanda cha M-PESA sas ana nunua viazi kutoka Iringa na kuleta Dar,
Wakuu kuna thread yangu kuhusu Ni muda upi sahaihi wa kuanza biashara, someni hiyo thread,
UNAPO TANGAZA KUINGIA KATIKA BIASHARA INGIA MOJA KWA MOJA UKIWA NA LENGO LA KUFIKA MBALI SANA NA HIYO BIASHARA YAKO
Safari ya maisha yako katika biashara inaanzia hapa, Ni bora unapo kuwa na wazo la biashara kuwa na wazo la kudumu miaka 100 ijayo hata kama hutakuwepo duniani kipindi hicho ila biashara yako itakuwepo,
Watu kama hawa waliangalia mbali sana
1. Michaele Dell- Ingawa hayupo Duniani ila kazi yake ipo, huyu jamaa hakuangalia kwenye kupata faida ya muda mfupi
2. Honda- Hon da hayupo duniani- Ila kazi yake bado ipo
3. Henry Ford- Aliona mbali sana
Wako wengi sana, Kuna post nili iweka humu Kuhusu CHINA ingawa watu hatutaki kuisoma ila ina ujumbe mkubwa sana, CHINA KUNA WATU WANAANZA TRANSPORT COMPANY NA BAISKELI LAKINI MWISHO WA SIKU WANAKUJA KUMILIKI MAGARI MAKUBWA YA MIZIGO huyu aliona mbali na alivyo anza Transport company na baiskeli pekee alijua anako tarajia kuwepo siku moja,
Wakuu turudu kwetu, UNAPO KUJA NA WAZO HAKIKISHA WAZO LAKO HALIISHII NJIANA NA HAKIKISHA NI SUSTAINABLE WAZO,
Mfano
1. Kuuza Mitumba- Hapa hakikisha unataka kuwa wapi siku moja? Je kuuza mitumba Dunia nzima?
2. Ukianza Biashara ya Mugahawa jiulize unataka kuwa wapi siku moja? Je unataka kuwa na migahwa East and Centre Africa?
3. Samaki- Je unataka kufika wapi na hao samaki?
4. Salooni- Je unata kufika wapi na saluni?
5. Tex- Je lengo lako ni nini? Je ni siku moja kuwa na kampuni kubwa ya Tax Africa?
6. Kufuga kuku- Je unataka kuwa na nini katika hii biashara ya kuku?
7. Kufuga ngo'ombe- Je unataka kuwa wapi siku moja na ufugaji ngo'ombe?
WAKUU TUMEKUWA TUKIFANYA BIASHARA KAMA ZIMA MOTO- Leo utasikia anafuga kuku. kesho kaisha acha kuku ana miliki Tex; kesho kutwa kaachana na Tex ana miliki kibanda cha M- pesa, mara kaacha kibanda cha M-PESA sas ana nunua viazi kutoka Iringa na kuleta Dar,
Wakuu kuna thread yangu kuhusu Ni muda upi sahaihi wa kuanza biashara, someni hiyo thread,
UNAPO TANGAZA KUINGIA KATIKA BIASHARA INGIA MOJA KWA MOJA UKIWA NA LENGO LA KUFIKA MBALI SANA NA HIYO BIASHARA YAKO