Njoo nikupe gari mpya ya uber, kama uko Dar, utatanguliza hizo kama Advnce Payment then balance utalipa polepole na wewe utapata mapato pamoja na kulipia gari kwa kiwango tutakachokubaliana na gari itakuwa yako baada ya kumaliza deni (HIRE PURCHASE)Mi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili nachukua shahada ya uhasibu. Wana JF nina mtaji sh. Million 5. Je naweza kuwekeza katika aina gani ya biashara na iweze kunilipa vizuri kwa miaka 2. Naombeni mnisadie kwa hili.
Ni biashara nzuri lakin inaitajika kwa mtu muaminifu kweli kweli otherwise atakula hasara,m5 unapata boda boda nne,kwa siku unaingiza 24 kwa wiki 144k kwa mwezi 576 kwa miaka miwili ni mil 13 na laki 8 na elfu 24,tkuitoa hizo laki 8 na ushee kwa miaka mi2 unatengeneza faida ya million 13:::inahitaji mtu muaminifu kweli kweli.
Mi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili nachukua shahada ya uhasibu. Wana JF nina mtaji sh. Million 5. Je naweza kuwekeza katika aina gani ya biashara na iweze kunilipa vizuri kwa miaka 2. Naombeni mnisadie kwa hili.
Noma sanaHapa ni kudanganyana tu, mimi niko Arusha jamaa yuko Darmimi nimpe aidea gani? Nafahamu vipi mazingira ya Dar? najua vip triends yahuko Dar? hapa tufanya business aidea sawa na utabili wa hali ya hewa.
- Aidea haitolewi kama Dawa vile, si sawa na kusema unaumwa kichwa watuwakakwambia kunywa Paracetamol, panadol, Aidea ya biashara nin kitu kinginekabisa Dada, huwezi kuwa mwanza mtu yuko Dar ukampa wazo la biashara,
1. Nitakua nimejua vipi mazingira ya huko?
Hapa ni kudanganyana na hii kitu haipo mahali popote pale duniani zaidiya hapa kwamba unaweza mpigia mtu wewe uko Arusha na yeye Dar ukamshauri anzekufanya biashara fulani,
- Na hilo la Bodaboda si business aidea, aidea gani hiyo wakati nibiashara ipo na inafanwa na watu kibao? wewe leo huwezi anzisha Duka la kuuzaVocha halafu ukaanza kutamba kwamba una Aidea nzuri,
NA THE BEST BUSINESS AIDEA NI UNAYO FOMULATE MWENYEWE, NA SI YAKUTABILIWA KAMA BAHATI NA SIBU, NCHI KAMA MAREKANI AMBAYO ILIANZA MIAKA MIAKAZAA ILIYO PITA STILL BADO KUNA AIDEA ZA KUFA MTU SASA
- MTU KAMA HUWEZI KUJA NA WAZO LAKO ZURI LA BIASHARA HUTAWEZA HATAKUSIMAMIA BIASHARA YAKO, TUNAKWEPA SANA KUUMIZA VICHWA THAT IS WAHY
Mkuu nimekuwa nikifuatilia hoja zako huku jf naona unapiga vita biashara za uchuuzi kabisa wala hutaki kutake interest huko, maana kweli unakuta mtu eti ana Guest house, stationery, kibanda cha chipsi, saloon ya kiume, grocery bar na boda boda moja, afu miaka nenda miaka Rudi yuko vile vile habadiliki hata, akili vile vile, yaani akimiliki tablet kwake ni anasa, hasa ana suistainability gani hapo mkuu. Yaani mi na wewe fikra zetu moja mkuu, hata kama hutota invest kwenye kilimo Kama id yako ilivo, basi mtu unaeza ukawa na idea ndogo ukaanza ila iwe na impacts change na sustainable.WATANZANIA TUNAPENDA SANA BIASHARA RAHISI NA ZISIZO HITAJI AKILI KABISA, BIASHARA YA BODABODA INAFANYWA NA WATU AMBAO WAMEFIKIA MWISHO WA KUFIKILIA NA AMBAO NA WAVIVU WAKUTUMIA AKILI
- Kwa magreat thinker kuja na wazo la Bodaboda ni kitu cha ajabu sana, ni kwa nini tusipende kuwekeza katika miradi yenye tija kwa taifa hili
1. Kwa nini si miradi yenye tija kwa taifa hili?
2. Kwa nini si uwekezaji ambao hata watu wa nje watatamani kufanya na wewe kazi?
3. Hii biashara si sustainable hata kidogo na sijui mtu mwenye hii biashara huwa anaplani niniu mbeleni
- Anzisha biashara ambayo miika kumi ijayo itakuwa ni biashara kubwa sana ndani na nje ya nchi hii,
- Watanzania utakuta mtu ana gest house moja ana Bodaboda tatu, ana kibanda cha simu na vocha, sasa mtu kama huyi sijui huwa anataget nini kuja kuwa vipi,
-HII DUNIA NI YA USHINDANI MKUBWA SANA NA KWA SASA ATAKAYE SAVAVIVE NI MTU ANAYE KUWA NA IDEA ILIYO ENDA SHULE, JARIBUNI KUTEMBELEA African Report muone vijana wa nchi zingine mawazo yao ya biashara, huwezi kuta vuijana kama wakule NIGERIA WANAPEANA USHAURI WA BODABODA HATA SIKU MOJA,
Nilizama Aidea ambayo hata ukiitwa kwenda kupresent mahali watu wanakuna vichwa na kukuona wewe ni mtu mwingine kabisa, sasa unaitwa unaenda kupresent Bajaji na Bodaboda utaonekana wa ajabu sana
Mawazo yako mengi unainterest na vitu gani njoo tuwekeze kwenye chakula...Mimi ni mdada miaka 26 elimu yangu ni form six nilikua nafanya kazi ktk kampuni moja jijini dar ila sasa nimeacha kutokana na mambo tu ya kazini. Niko rombo kilimanjaro naomba mnipe wazo la kufanya na hiyo milion tano. Niko tayari kufanya biashara kati ya dar au rombo cose kote nina sehemu ya kukaa bila kulipa kodi. Ushauri tafadhali
Gari la aina gani? Jumla ya malipo (mkopo) ni kiasi gani na analipa kwa muda gani?Njoo nikupe gari mpya ya uber, kama uko Dar, utatanguliza hizo kama Advnce Payment then balance utalipa polepole na wewe utapata mapato pamoja na kulipia gari kwa kiwango tutakachokubaliana na gari itakuwa yako baada ya kumaliza deni (HIRE PURCHASE)
Mapato ya Uber kwa sasa ni sh 150,000 hadi 200,000 kwa wiki tegemea na bidii ya dereva
Kwa mhasibu natumaini utakuwa umenielewa vema
Mkuu, siyo mbaya kama ukituwekea hapa hayo mawazo yako nasi tukajifunza kitu.Mawazo yako mengi unainterest na vitu gani njoo tuwekeze kwenye chakula...
Nikuuza chakula cooked food at the restaurants, catering services n.kMkuu, siyo mbaya kama ukituwekea hapa hayo mawazo yako nasi tukajifunza kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app