Siasa mbaya sana
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 1,814
- 3,107
Nyama choma, kibanda umiza
5m inatosha?Fungua kampuni ya KUBETI
Weka peupe bosi tukopi na kipesti.Kwa anaehitaji business plan full constructed na mwongozo wa kuifata nidm tufanye jambo
Biashara ya uhakika na hela ya haraka ni kununua nafaka..Nimeweka akiba imefika milion 1.2
Naomba ushauri biashara ya kufanya ambayo itaniingizia japo faida ya elfu 10 kwa siku.
View attachment 1632801
Zaidi ya sana5m inatosha?
Nafaka unanunuajeBiashara ya uhakika na hela ya haraka ni kununua nafaka..
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Huyu ni mbuzi kasoro kimo,wenye akil mpuuuzeni huyuMkuu jaribu kuwa serious wakati mwingine,,
Yaani pesa ya kununua simu unatafuta ushauri wa kuifanyia biashara?
Usituchoshe mkuu..
Hapo labda ufunguwe genge Duka..
Mkuu kweli nimekuumiza?huyu ni mbuzi kasoro kimo,wenye akil mpuuuzeni huyu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
ntakuw nmekosea kuquote mkuuMkuu kweli nimekuumiza?
Basi sawa mkuu.
Sawa nashukuruWatakuja mkuu kuwa na subira
Ila pitia pitia baadhi ya maada zinazo eleza fursa mbalimbali
Sawa unahitaji ushauri,
Lakini hilo eneo ulipo unaona kuna vitega uchumi gani uanze navyo?
Nakushauri njoo tuoane hutajutia, ila subiria watalamu pia mataper wapo hum jf, wengine watataka wakuunganishe na uagizaj mzg china ili upate faida kubwa, dad kuwa makin hii jf ya sasa tofaut kabisa na jf ya miaka minne kurud nyuma