kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 2,867
- 7,168
labda ufanye biashara haramu na sio halali,,,, kwa mazingira ya tz na kodi ulipe kila kitu alafu uvune 500k per month? big joke. sio kwamba hakuna biashara itakayokuingizia kiasi hicho cha pesa, tatizo mtaji ni mdogo.