Mkuu,acha upande wa mtaani kwangu sijaona biashara ya kufanya na ukija ktk mazingira ninayo enda patia ridhki yangu ni mazingira kwa biashara ya spare ya magar ni ngumu coz nilishawah fanya na ndo maana nikaja huku mkuuMkuu, Tulia kwa Makini fanya tafiti hapo mtaanu kwako au jamii inayokuzunguka iko na Tatizo gani , Afu we njoo na Solution ya tatizo hilo (Njia moja wapo wa kutafuta business Idea Endelevu)
Ukiweza kufanya hivyo miaka mitano baadae utakuwa mbali sana