dismas madaha
Member
- Mar 21, 2017
- 8
- 3
Wewe binafsi unafikilia k2 ganHabari wakuu naomba msaada wa mawazo kwa wazoefu. Wa biashara au miradi. Naishi dar es salaam. Niko na Tshs 3000000. Au mil 3. Nifanye kitu gan lengo nipambane nipate maendeleo ikibidi nitoke kimaisha. Shukran zangu za dhati nitangulize. Wakuu. Karibu.