mwana asante kwa maoni yako!! kifupi sijawahi fanya biashara yoyoteje unauzoefu gani au hobby yako nini
asante mkuu kwa ushauri wako mzuri!!!! sasa ugumu naona utakwepo kwenye usimamizi kaka!! sijui unanishaurije??Anzisha saloon ya kike.
sawaFanya kilichokufanya upate 1m
nipo serious kakaLete nikushikie ukipata jibu nitakurudishia
asante kwa ushauri maana ushauri ni ushauri tuTatizo uko mbeya ungekuwa Dar ningekushauri uje hapa corner bar Sinza ufanye biashara ya kununua dada poa inalipa sana
Au nunua viroba vya ela yote tarehe 1 mach uanze kuuza
Ushauri wangu ndio huo wewe mbeya unaona mazao kibao watu wanaleta Dar unashindwa kujiongeza
Kwahiyo akabet tena?Lete nikushikie ukipata jibu nitakurudishia
Viazi kwa gunia moja hvi ni bei gani ndugu kwa wakulima, na ni mikoa gani?Michele,,au viazi unaleta huku,dar
Sajili chama cha siasaNina milioni moja kamili nataka niizungushie kwenye biashara. Naombeni ushauri na maoni yenu ifanye biashara gani? Mimi naishi Mbeya mjini!!!
Karibuni jamani
Fuga nguruwe kwani najua mbea utakosa majaniTatizo uko mbeya ungekuwa Dar ningekushauri uje hapa corner bar Sinza ufanye biashara ya kununua dada poa inalipa sana
Au nunua viroba vya ela yote tarehe 1 mach uanze kuuza
Ushauri wangu ndio huo wewe mbeya unaona mazao kibao watu wanaleta Dar unashindwa kujiongeza