marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,199
- 435
Habari zenu wakuu,
Hivi biashara ya duka la jumla la vitu mbalimbali inahitaji mtaji wa kiasi gani?
Na inawezekana kumweka mtu na akafanya biashara hii kwa uaminifu na wewe ukaendelea na mambo mengine??,,fikiria huyo mtu si mke wako.
Natanguliza shukurani zangu wakuu..
=====
Hivi biashara ya duka la jumla la vitu mbalimbali inahitaji mtaji wa kiasi gani?
Na inawezekana kumweka mtu na akafanya biashara hii kwa uaminifu na wewe ukaendelea na mambo mengine??,,fikiria huyo mtu si mke wako.
Natanguliza shukurani zangu wakuu..
=====
Hiyo biashara inawezekana ila kabla hujaanza fanya Budget ya Kodi, vitu unavyotaka kuuza na bei zake utakazonunulia .
Vile vile tafuta kijana na weka control kwa kufanya stock taking kila wiki. Kwani tayari utakuwa umempa bei za kuuzia na una jua una stock ya kiasi gani jumla.
Kama kuna upungufu lazima utamuuliza.