Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Naliona hili CCM wamelifanya mtaji:-
Uteuzi wa mgombea uraisi kwa tiketi ya CDM imekuwa ni ajenda kubwa kwa ccm na pia wameweza hata kuipenyeza kwa wanaCDM na kuwatumia bila wao kujijua lengo likiwa ni kuleta mfarakano na mgawanyiko ili chama kikose dira na mwelekeo na hivyo kupunguza uelemeo wanaoupata sasa kumjua au kumtambulisha candidate kwa sasa kuna athari na faida zake kama hizi:
Faida
Kutamjenga na kumuandaa kifikra na pia changamoto atakazozipata zitamfanya ajue wapi ana mapungufu ya kuyarekebisha kabla
Athari
Inaweza ikawa ndio kifo chake cha kisiasa ama cha umauti kwani atasakamwa na kuibuliwa kashfa kedekede na hata kuwindwa adhurike, mitego mbalimbali pia itawekwa katika njia yake ili akiteleza ipatikane sababu
Kwa kulijua hilo nadhani CDM wangeliweka hili ndani yamakabrasha hadi muda muafaka ukifika na pia kuwepo azimio la kuzuia wanachama wao kuzungumzia NIA nje ya vikao vya chama
Ni ushauri tu....
Uteuzi wa mgombea uraisi kwa tiketi ya CDM imekuwa ni ajenda kubwa kwa ccm na pia wameweza hata kuipenyeza kwa wanaCDM na kuwatumia bila wao kujijua lengo likiwa ni kuleta mfarakano na mgawanyiko ili chama kikose dira na mwelekeo na hivyo kupunguza uelemeo wanaoupata sasa kumjua au kumtambulisha candidate kwa sasa kuna athari na faida zake kama hizi:
Faida
Kutamjenga na kumuandaa kifikra na pia changamoto atakazozipata zitamfanya ajue wapi ana mapungufu ya kuyarekebisha kabla
Athari
Inaweza ikawa ndio kifo chake cha kisiasa ama cha umauti kwani atasakamwa na kuibuliwa kashfa kedekede na hata kuwindwa adhurike, mitego mbalimbali pia itawekwa katika njia yake ili akiteleza ipatikane sababu
Kwa kulijua hilo nadhani CDM wangeliweka hili ndani yamakabrasha hadi muda muafaka ukifika na pia kuwepo azimio la kuzuia wanachama wao kuzungumzia NIA nje ya vikao vya chama
Ni ushauri tu....