Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Jana wanachama zaidi ya 20 walirudisha kadi za chama cha Mabwepande na kujiunga na M4C ni mtaa wa Sanare ambao mwenyekiti wa mtaa huo ndg Selemani anatuhuma kaifatavyo
-amechangisha 3,000 kila familia kwaajili ya bunduki lakini mpaka leo haja nunua hiyo bunduki kuna kaya 2,000 na bunduki 900,000 huku yeye alipata mil 6,000,000
-anachangisha 200 kila mtoto kila siku kwa ajili ya kitu kina itwa mkakatina shule ya daraja II ininawanafunzi 2000.
-anakusanya pesa ya takataka 1,000 kwa familia na 2000 kwa kibanda/duka ukifanya kosa lolote unalipishwa 10000 na hakuna risiti.
-wakusanyaji wa michango yote ni watoto wake.
-ukitaka barua yako isaniwe na mwenyekiti ni 5,000 mkopo ni 20000 ikumbukwe hakuna risiti..
Kamanda Ephata Nanyaro akipokea wanachama waliokihama chama cha Mabwepande na kuhamia chama cha Demokrasia na Maendeleo na nyumba inaonekana kwa nyuma ndiyo nyumba ya mwenyekiti wa mtaa Ndg Seleman.
-amechangisha 3,000 kila familia kwaajili ya bunduki lakini mpaka leo haja nunua hiyo bunduki kuna kaya 2,000 na bunduki 900,000 huku yeye alipata mil 6,000,000
-anakusanya pesa ya takataka 1,000 kwa familia na 2000 kwa kibanda/duka ukifanya kosa lolote unalipishwa 10000 na hakuna risiti.
-wakusanyaji wa michango yote ni watoto wake.
-ukitaka barua yako isaniwe na mwenyekiti ni 5,000 mkopo ni 20000 ikumbukwe hakuna risiti..
Kamanda Ephata Nanyaro akipokea wanachama waliokihama chama cha Mabwepande na kuhamia chama cha Demokrasia na Maendeleo na nyumba inaonekana kwa nyuma ndiyo nyumba ya mwenyekiti wa mtaa Ndg Seleman.