mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Huu ndio mtaji wa ccm ambao umewasadia kuwa wa win watanzania na kuendelea kuwatawala zaidi ya miaka 50 sasa
1. Uwoga wa Watanzania. Wameweza kuwapumbaza watanzania kwa philosophia ya amani. wakati wa uchaguzi huwa wanatangaza hali ya hatari na vita kwa watanzania ili waogope kuchangua viongozi waliopo nje ya mfumo wa ccm.
Jeshi huwa linaandaliwa vizuri na hata kuongozewa mishahara na marurupu mengine ili hali watafute njia ya kuwatisha watanzania ili waogope. Mfano ni wakati wa Gen. Mahita na mwaka jana Gen. shimbo.
2. Umasakini wa Watanzania. Kina mama/vijana wengi vijijini ni maskini. hawana uwezo wa kununua kanga, mitandio, na t-shets kwa ajili yao. kwa hiyo ccm hukwapua hela nyingi sherikali kwa ajili ya kuonga na kuwavalisha nguo kwa rushwa ya kuwanunua
4. Wizi wa Kura. Uchaguzi tanzania ni Kiini macho ili jumuia ya kimataifa ione angalao kuna uchaguzi. Kazi kubwa waliyopewa usalama wa taifa ni kuhakikisha ccm inashindwa kwa vizi wa aina yeyote. Usalama wa taifa ujipachika kila kitengo na kazi za tume ya uchaguzi ili waweze kufanikisha hili zoezi. lakini pia hupewa hela ngingi sana zinazochotwa serikalini kwa wizi mfano TRA, Tanroads, etc
6. Ujinga wa Watanzania. Watanzania wengi ni hawajelimika, wengi ni watafutaji wa mlo wa leo, hata kama wamesoma. Wengi hawana vision for this nation, and have no partrotism. akipewa bia leo hawafikiri ya kesho.
Je ni mikakati gani ya kupambana na uwoga na ujinga wa Watanzania?
1. Uwoga wa Watanzania. Wameweza kuwapumbaza watanzania kwa philosophia ya amani. wakati wa uchaguzi huwa wanatangaza hali ya hatari na vita kwa watanzania ili waogope kuchangua viongozi waliopo nje ya mfumo wa ccm.
Jeshi huwa linaandaliwa vizuri na hata kuongozewa mishahara na marurupu mengine ili hali watafute njia ya kuwatisha watanzania ili waogope. Mfano ni wakati wa Gen. Mahita na mwaka jana Gen. shimbo.
2. Umasakini wa Watanzania. Kina mama/vijana wengi vijijini ni maskini. hawana uwezo wa kununua kanga, mitandio, na t-shets kwa ajili yao. kwa hiyo ccm hukwapua hela nyingi sherikali kwa ajili ya kuonga na kuwavalisha nguo kwa rushwa ya kuwanunua
4. Wizi wa Kura. Uchaguzi tanzania ni Kiini macho ili jumuia ya kimataifa ione angalao kuna uchaguzi. Kazi kubwa waliyopewa usalama wa taifa ni kuhakikisha ccm inashindwa kwa vizi wa aina yeyote. Usalama wa taifa ujipachika kila kitengo na kazi za tume ya uchaguzi ili waweze kufanikisha hili zoezi. lakini pia hupewa hela ngingi sana zinazochotwa serikalini kwa wizi mfano TRA, Tanroads, etc
6. Ujinga wa Watanzania. Watanzania wengi ni hawajelimika, wengi ni watafutaji wa mlo wa leo, hata kama wamesoma. Wengi hawana vision for this nation, and have no partrotism. akipewa bia leo hawafikiri ya kesho.
Je ni mikakati gani ya kupambana na uwoga na ujinga wa Watanzania?