wazo zuri ni pale utakapo amua fanya research mwenyewe na kuangalia sehemu unayoishi kunahitaji kitu gani ambacho kitatosha na mtaji wako. Cha msingi kiwe feasible.
Ila kwa ushauri tu unaweza anza na tin ya tgopesa Laki 5, mpesa 150, na Airtelmoney 200, then inayobaki iwe mtaji na operating cost nyingine kama kulipia pango, mfanyakazi na mengineyo.
NB: biashara hiyo inalipa sana sehemu yenye watu wengi na mzunguko wa pesa mkubwa.
wazo zuri ni pale utakapo amua fanya research mwenyewe na kuangalia sehemu unayoishi kunahitaji kitu gani ambacho kitatosha na mtaji wako. Cha msingi kiwe feasible.
Ila kwa ushauri tu unaweza anza na tin ya tgopesa Laki 5, mpesa 150, na Airtelmoney 200, then inayobaki iwe mtaji na operating cost nyingine kama kulipia pango, mfanyakazi na mengineyo.
NB: biashara hiyo inalipa sana sehemu yenye watu wengi na mzunguko wa pesa mkubwa.
kama upo dodoma mjini mimi nashauri kama kazi yako haikubani sana kimbia dareneo ya karume kusany mitumba ya mashati yanayowafaa vijana wa kileo nangalia yanayofaa kuchongwa modo na pia suruali zisizo na minyosho ambazo zinafaa kuchonga modo anza na kidogo baada ya hapo soko litakuwa maana vijana wa chuo ni weni sana na na hapo domu soko la nguo ni moja la sabasaba na bei ni kubwa sana za nguo
Hayo unayonena ni kweli kaka mkuu, kama utapata eneo zuri mjini la kuegesha nguo za mtumba hutalala njaa kutokana na potential customers ( wanafunzi wa chuo ) ila zingatia S.W.O.T analysis.
Strength ( mambo yaliyo ndani ya uwezo wako au advantages kwako)
Weakness ( mapungufu yako katika biashara )
Opportunity ( fursa zilizopo ) na mwisho
Threats ( vikwazo au vitishio vya biashara yako ) chochote utakachoshauriwa angalia sana mambo hayo na usisite kaa chini na kuviandika na kuchanganua moja baada ya nyingine itasaidia.
Pamoja na hayo hapo juu kuhusu mitumba kwa pale Dodoma kama biashara yako ita segment ( base) ( itaangalia sana) wanafunzi wa chuo kuna dis advantage moja ambayo unaweza iface kipindi baada ya kipindi ambayo itakuwa ni seasona demand, kwani nadhani mauzo yatakuwa sana kipindi cha BOOM na likiisha kuna hatari ya wateja kupungua kutokana nq asilimia kubwa ya wanafunzi kutegemea pato hilo kuendesha maisha yao japo si wote.
Mwisho niseme kuwa wewe ndio msingi wa nyumba kaa chini changanua kabla hujafanya lolote lile.
KINGINE AMBACHO KAMA KUNA MTU ANAWEZA TUPA UJANJA NI HII BIASHARA YA UBUYU. DODOMA HUPATIKANA KWA URAHISI NA BEI CHEE. NA SOKO LAKE ( UBUYU ) NI MAENEO YA PWANI # DSM, ZNZ, TANGA. Waweza kuwa supplier ukauza kwa jumla kama nafasi inaruhusu na pia natoa nafasi kwa wanaofahamu hilo soko maana mi c mjuzi katika hilo eneo nitafaidika pia. Asante.
Ni PM, nina wazo zuri.Habarini wadau wa JF.
Heri ya mwakavmpya 2014.
Mimi ni mfanyakazi wa serikali ndi nimehamia dodoma.
Je kwa mtaji wa 2m naweza kuanzisha biashara gani hapa mjini dodoma?
Mawazo yenu ya muhimu sana wadau.
Ni PM, nina wazo zuri.
Ni PM, nina wazo zuri.
Ni PM, nina wazo zuri.
wekaza kwenye mazao miezi michche ijayo hao ndugu zangu wagogo wataanza kuvuna karanga na kwa tabia yao huuza bei rahisi sana mwanzo wa msimu kwa hy pesa uliyo nayo unaweza pata hata gunia 100 hifadhi , mazao haya ndani baada ya miezi 5 utauza bei mara 3 ya uliyo nunu;lia faida itakuwa zaidi ya 300% hakuna hasara kwenye biashara hii
wekaza kwenye mazao miezi michche ijayo hao ndugu zangu wagogo wataanza kuvuna karanga na kwa tabia yao huuza bei rahisi sana mwanzo wa msimu kwa hy pesa uliyo nayo unaweza pata hata gunia 100 hifadhi , mazao haya ndani baada ya miezi 5 utauza bei mara 3 ya uliyo nunu;lia faida itakuwa zaidi ya 300% hakuna hasara kwenye biashara hii
Hayo unayonena ni kweli kaka mkuu, kama utapata eneo zuri mjini la kuegesha nguo za mtumba hutalala njaa kutokana na potential customers ( wanafunzi wa chuo ) ila zingatia S.W.O.T analysis.
Strength ( mambo yaliyo ndani ya uwezo wako au advantages kwako)
Weakness ( mapungufu yako katika biashara )
Opportunity ( fursa zilizopo ) na mwisho
Threats ( vikwazo au vitishio vya biashara yako ) chochote utakachoshauriwa angalia sana mambo hayo na usisite kaa chini na kuviandika na kuchanganua moja baada ya nyingine itasaidia.
Bila shaka wewe ni muhitimu wa seminar ya ILO under two Modules of BUWABI and ABIYA.