Mtaji million sitini(60,000,000) biashara gani?

@prime dynamics, u must be talking about the Nairobi stock exchange because unless you can prove me wrong the DSE ( dsm stock market) is not that competitive across east Africa, so no share price fluctuation for a fact. well, since were talking about buying and selling of shares why not make an investment in the new York stock market or the ever changing London stock market if you dare. It all depends on your appetite for risk, u might as well consider the FOREX market, its a very lucrative market so far the world has ever seen.
 
  • Thanks
Reactions: 911
Kwa mtindo huo kaka kazi unayo!
Ugumu unakuja kwa sababu unatakiwa kubuni biashara MPYA na ikuletee kipato kischopungua 150,000 kwa siku! Ziko biashara nyingi ambazo zinaweza kukuingizia pesa nyingi na ukalilpa deni na kubaki na faida kubwa sana hata ndani ya miezi michache, tatizo ni kwamba You risk loosing everything! Mimi nakushauri utafute biashara ambayo itaanza kukuingizia faida MARA MOJA. Unaweza kununua used computers kutoka UK na kupeleka mikoani/kwa hili utahitaji mtaji mkubwa zaidi kama unachukua container nzima. Rahisi zaidi unaweza kuongea na wasomali wanaoziingiza ukanunua kwa bei ya jumla, unaweza kununua mzigo wa millioni 30, ukiuza unapata faida ya zaidi ya 20M! Huku mikoani wateja wa bidhaa hiyo wako wengi sana, PC ambayo unanunua 140000 dar utaiuza 250000 bei ya fastafasta mkoa!! Kuna mdogo wangu anafanya biashar hii na inamlipa ssana, kama uko interested sema nikuunganishe nae. Ingekuwa pesa yako mwenyewe tungeongea mambo ya uzalishaji, haya faida yake inachukua muda lakini faida ni kubwa mno.
 
  • Thanks
Reactions: 911
Kama unaweza fanya research moja...tafuta gari 2 tanker za kuuza maji safi...kila moja inakuletea 100,000 per day.nenda zbar kazitafute utapata hata kwa 28m tani 4 zile fuso zinakutosha .....ukishindwa kabisa nunua canter 4....nazo zitakupa 200,000 kwa siku!!!all the best
 
Kama unaweza fanya research moja...tafuta gari 2 tanker za kuuza maji safi...kila moja inakuletea 100,000 per day.nenda zbar kazitafute utapata hata kwa 28m tani 4 zile fuso zinakutosha .....ukishindwa kabisa nunua canter 4....nazo zitakupa 200,000 kwa siku!!!all the best
 
...Kuna mdogo wangu anafanya biashar hii na inamlipa ssana, kama uko interested sema nikuunganishe nae.
Mkubwa, mdogo wako atakuwa competitor wake, sasa ukiwaunganishia itamsaidia vipi, au mnataka ku weaken business strategy zake? Hapo kuna enormous conflict of interests at play. I don't get.
 
Mkubwa, mdogo wako atakuwa competitor wake, sasa ukiwaunganishia itamsaidia vipi, au mnataka ku weaken business strategy zake? Hapo kuna enormous conflict of interests at play. I don't get.
Ni kweli mkuu, lakini Tanzania ni kubwa mno, mfanyabiashara haogopi competition! Mdogo wangu na yeye alipewa hiyo idea na mtu anayefanya kazi hizo, akaoneshwa mpaka sehem za kununua hzo PC!!!!! Kama unafanya biashara utakubaliana na mimi kuwa kabla haujajiingiza katika biashara yoyoteni muhimu ukaongea na watu wanaofanya biashara hiyo. Demand ya computer ni kubwa mno kuliko uwezo wa wafanyabiashara kuingiza nchini, usiogope kaka, mimi nafanya biashara ya ufugaji, kama na wewe unapenda kufanya biashara hii tuwasiliane.
 
  • Thanks
Reactions: 911
Ukinunua shares kwa kutumia pesa za mkopo unarisk sana. Bei inabadilika sana probability ya kuapata ugonjwa wa moyo ni kubwa. Kumbuka mkopo utatakiwa kupeleka marejesho kila mwezi na shares profit inategemea na soko. Kumbuka tunatatizo la umeme so uchumi hauko sawa.
Mimi nakushauri kwanza kabla ya hujachukua huo mkopo, kwanza nenda National Insurance company omba bond ya huo mkopo wako. That collateral of yours itabakia na insurance company na sio benki. thus interest ya huo mkopo wako itakuwa ndogo bcoz the bank already have an assurance of getting back their money. Hapo ukikwama huwezi poteza mali yako bcoz insurance will be always there for you. So make sure umepata insurance ya huo mkopo wako usikurupuke.
Kuhusu biashara ya kufanya kama upo dar omba utawala wa ubungo ukupe ruhusa ya kujenja kibanda cha INFORMATION CENTER ndani ya Ubongo alafu chapisha bei nzuri za taxi maeneo yote ya Dar. kila mgeni (na wenyeji pia) antakae ingia Dar kutoka mikoani atafikia kwenye kibanda chako. Ingia mkataba na madereva taxi amabo niwaaminifu. mgeni atakulipa wewe then mpe resiti yako whereby hata ikitokea amesahau mzigo ndani ya taxi husika atakuwa na uwakika wa kuupata kutokana na contacts zilizopo kwenye resiti. You will be responsible kwavile taxi unazipangia kazi wewe, Utakua unabakiza copy ya resiti ikiwa na jina la mgeni na number ya taxi. you will be getting commission from the taxi kwa vile utakua unalipwa wewe alafu wewe ndio unamlipa dereva taxi. utakuwa unapata cha juu pekee. hutakiwi kumiliki taxi au bajaji ingia nao mkataba kutokana na bei utakazo zitangaza kwenye kibanda chako. KWenye kibanda pokea malipo kwa M-PESA, ZAP, na Tigo Pesa. Sio lazima mteja wako awe na cash. Kibanda kinatakiwa kiwe na mvuto with all informations za hotels ndani ya Dar na time za ndege na boat za kwenda zanzibar na pemba bila kusahau kivuko cha kigamboni.

salute mkuu! uko juu
 
Nakuomba kwanza katika hiyo 60m uende kujenga nyumba nyingine kwanza halafu pesa ikibaki anzisha biashara.....hii ni kwasababu naona utaweka hii pesa kwa biashara na biashara itaanguka halafu watakuja piga mnada nyumba na mwisho utakosa vyote uishie kuugua na mawazo (stress)
 
Ndugu wanajamii,kwa kifupi nategemea kupata mkopo toka Bank moja hapa
Dar essalaam kwa kuweka nyumba yangu kama collateral(security).
original business idea ilikuwa ni kufungua nursary ambayo baadaye inge turn into
secondary school.Lakini kwa mtazamo wa haraka,naona kama hii biashara yahitaji
mtaji mkubwa kuweza kuwa na shule ya kiwango cha juu-kusurvive competition.Na kwa upande mwingine shule binafsi zimekuwa nyingi sana na serikali inazidi kujenga shule za kata.Nikiangalia mbele naona giza kwa watu wenye mitaji midogo na hasa baada ya watu wenye uwezo kuanza kuwekeza kwenye mashule na huku maisha ya working class yakizidi kuwa magumu siku baada ya siku.

Ombi langu ni: wapi naweza ku invest hii pesa?
hiyo investment naomaba iwe ni yenye turnover kubwa ili niweze kulipa
mkopo ndani ya miaka miwili au tatu kuepuka riba kubwa ya Miaka 5.

Natanguliza shukrani,kwa msaada wowote wa kimawazo.
Davidson!!

This is VERY FUNNY na usipo angalia ndugu utakuja kuingia chaka vibaya uje kulia kilio cha mbwa nyumba ikipigwa mnada hiyo ......yan unachukua mkopo alaf ndo unatafuta business idea??? Ur not SERIOUS at all. Mi nlifkiri mpaka unachkua huo mkopo u had every thing planned, ume analyse the market na tayari una business plan na return yake itakavyokua ??? angalia sana kaka..... ilitakiwa wewe ukishapewa mkopo right away unaanza kazi ukijua nn unafanya.....Yangu macho !!!!
 
Kwa mtindo huo kaka kazi unayo!
Ugumu unakuja kwa sababu unatakiwa kubuni biashara MPYA na ikuletee kipato kischopungua 150,000 kwa siku! Ziko biashara nyingi ambazo zinaweza kukuingizia pesa nyingi na ukalilpa deni na kubaki na faida kubwa sana hata ndani ya miezi michache, tatizo ni kwamba You risk loosing everything! Mimi nakushauri utafute biashara ambayo itaanza kukuingizia faida MARA MOJA. Unaweza kununua used computers kutoka UK na kupeleka mikoani/kwa hili utahitaji mtaji mkubwa zaidi kama unachukua container nzima. Rahisi zaidi unaweza kuongea na wasomali wanaoziingiza ukanunua kwa bei ya jumla, unaweza kununua mzigo wa millioni 30, ukiuza unapata faida ya zaidi ya 20M! Huku mikoani wateja wa bidhaa hiyo wako wengi sana, PC ambayo unanunua 140000 dar utaiuza 250000 bei ya fastafasta mkoa!! Kuna mdogo wangu anafanya biashar hii na inamlipa ssana, kama uko interested sema nikuunganishe nae. Ingekuwa pesa yako mwenyewe tungeongea mambo ya uzalishaji, haya faida yake inachukua muda lakini faida ni kubwa mno.

please naomba contacts ya ndugu yako.
 
Very wrong maths, whaaat is this...!!!!
Here we go simple...
60,000,000 loan, Interest rate say 25%, watch out here most banks claim IR of 20% of which is not or is around 25% or more a bit
So total returns ni 75,000,000 in 2 yrs
i.e 2yrs = 730 days
So 75,000,000/730 = 102,739.726
Apprx. 103,000 daily hapa atakuwa anaweza kulipa deni lote bila yeye kuchukua chochote
So each day he MUST MAKE MORE THAN tshs 103,000 kila siku
kwa miaka 2 ili apate faida ( msisitizo apate zaidi ya tshs 103,000 kwa siku kwa miaka miwili ili apate faida ) na si 330,000 daily...
Great day ...

Ukweli mkuu,si unajua wengine wanajifanya wakali kwenye mahesabu kumbe makanjanja!!!
 
Kama unaweza fanya research moja...tafuta gari 2 tanker za kuuza maji safi...kila moja inakuletea 100,000 per day.nenda zbar kazitafute utapata hata kwa 28m tani 4 zile fuso zinakutosha .....ukishindwa kabisa nunua canter 4....nazo zitakupa 200,000 kwa siku!!!all the best

Mkuu unaweza kuwa more in details ili tukaelewa vizuri??I mean hayo maji yatauzika wapi yaani dar au mkoani au zanzibar au wapi??na vile vile na hizo Canter 4 na zenyewe ni vipi hasa??zitatumika kwa ajili ya maji au??
 
Ndugu wanajamii,kwa kifupi nategemea kupata mkopo toka Bank moja hapa
Dar essalaam kwa kuweka nyumba yangu kama collateral(security).
original business idea ilikuwa ni kufungua nursary ambayo baadaye inge turn into
secondary school.Lakini kwa mtazamo wa haraka,naona kama hii biashara yahitaji
mtaji mkubwa kuweza kuwa na shule ya kiwango cha juu-kusurvive competition.Na kwa upande mwingine shule binafsi zimekuwa nyingi sana na serikali inazidi kujenga shule za kata.Nikiangalia mbele naona giza kwa watu wenye mitaji midogo na hasa baada ya watu wenye uwezo kuanza kuwekeza kwenye mashule na huku maisha ya working class yakizidi kuwa magumu siku baada ya siku.

Ombi langu ni: wapi naweza ku invest hii pesa?
hiyo investment naomaba iwe ni yenye turnover kubwa ili niweze kulipa
mkopo ndani ya miaka miwili au tatu kuepuka riba kubwa ya Miaka 5.

Natanguliza shukrani,kwa msaada wowote wa kimawazo.
Davidson!!
NIPO KWENYE BIASHARA YA KUKOPESHA , INALIPA SANA unakuwa na kaofisi chako cha kukopesha mikopo midomidogo na mwisho wa wiki unakusanja fedha yako na kaRiba kadogo, kama utaifanya vizuri itakulipa sana, kama unaweza kuifanya kwa riba ndogo ni ukweli usiopingika kuwa utapata wateja wengi sana, ,

inahitaji vibali vya microfinance, leseni ya biashara, TIN number, na software ya kuendesha biashara. nipo kwenye biashara hii, inalipa, tunaweza kuform joint venture. tuwasiliane 0767102102
 
Ukinunua shares kwa kutumia pesa za mkopo unarisk sana. Bei inabadilika sana probability ya kuapata ugonjwa wa moyo ni kubwa. Kumbuka mkopo utatakiwa kupeleka marejesho kila mwezi na shares profit inategemea na soko. Kumbuka tunatatizo la umeme so uchumi hauko sawa.
Mimi nakushauri kwanza kabla ya hujachukua huo mkopo, kwanza nenda National Insurance company omba bond ya huo mkopo wako. That collateral of yours itabakia na insurance company na sio benki. thus interest ya huo mkopo wako itakuwa ndogo bcoz the bank already have an assurance of getting back their money. Hapo ukikwama huwezi poteza mali yako bcoz insurance will be always there for you. So make sure umepata insurance ya huo mkopo wako usikurupuke.
Kuhusu biashara ya kufanya kama upo dar omba utawala wa ubungo ukupe ruhusa ya kujenja kibanda cha INFORMATION CENTER ndani ya Ubongo alafu chapisha bei nzuri za taxi maeneo yote ya Dar. kila mgeni (na wenyeji pia) antakae ingia Dar kutoka mikoani atafikia kwenye kibanda chako. Ingia mkataba na madereva taxi amabo niwaaminifu. mgeni atakulipa wewe then mpe resiti yako whereby hata ikitokea amesahau mzigo ndani ya taxi husika atakuwa na uwakika wa kuupata kutokana na contacts zilizopo kwenye resiti. You will be responsible kwavile taxi unazipangia kazi wewe, Utakua unabakiza copy ya resiti ikiwa na jina la mgeni na number ya taxi. you will be getting commission from the taxi kwa vile utakua unalipwa wewe alafu wewe ndio unamlipa dereva taxi. utakuwa unapata cha juu pekee. hutakiwi kumiliki taxi au bajaji ingia nao mkataba kutokana na bei utakazo zitangaza kwenye kibanda chako. KWenye kibanda pokea malipo kwa M-PESA, ZAP, na Tigo Pesa. Sio lazima mteja wako awe na cash. Kibanda kinatakiwa kiwe na mvuto with all informations za hotels ndani ya Dar na time za ndege na boat za kwenda zanzibar na pemba bila kusahau kivuko cha kigamboni.

this is one of the best business ideas.
 
Kwa kweli hii ni tamaa au ni nini

yaani unaenda kukopa huna ida ya unachotaka kufanya, labda n abusiness plan hauna. yaani unatafuta kutajirika haraka bila mpengo kabisa.

kama ulivyoshauriwa ukidharau shauri yako anza kutafuta nyumba ya kupanga labda ya laki moja lwa mwaka maana ukiingia kihivi hivi na kuchukua mkopo utalia tuuu

kuwa mwangalifu
 
You must start with the business idea first before acquiring finance..I like the idea of' information centre'
 
Back
Top Bottom