Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,224
- 994
Mchwampaka mgandulile au?Mchwampaka!
Mchwampaka mgandulile au?Mchwampaka!
Aje wapi tena?Come again ma'am...nway I feel ya!!
Baadae alihamia gold moshi. Kwa biology hapo sijui nisemeje maana anafundisha vizuri sana. Mara ya mwisho nlikutana naye alipokuja kama mkaguzi skul kwetu 2009Mwl mchome-Tabora boys
Biology
Baadae alihamia gold moshi. Kwa biology hapo sijui nisemeje maana anafundisha vizuri sana. Mara ya mwisho nlikutana naye alipokuja kama mkaguzi skul kwetu 2009
Alikuwa anafundisha mpaka tunajikuta tumeshampigia makofi na kushangalia!!Yaah alisha staafu...mtoto wake Dr bariki nilisoma nae primary wkt yupo tbr baadae wakahamia mbeya na wakarudi tena tbr baada yA mme wake kua jaji ndio akanifundisha ila mmewe akahamishiwa moshi wote waka staafu huko huko
Inaelekea elimu yako ya kuungaunga sana kama bashite.Hao Kwangu Mimi ndiyo Heroes wangu na niseme tu akhsante sana Kwao japo nawapa pole kwani kwa aina ya Utundu wangu kwakweli niliwasumbua mno ila hawakuchoka kuninyoosha na sasa nimekuwa Mtu katika Watu japo pia niseme tu Walimu wengine wote katika hizo Shule na Vyuo walinisaidia sana na Wao pia wabarikiwe mno na wale waliotangulia mbele za haki basi Mwenyezi Mungu aziweke roho zao mahala pema peponi Amen / Inshaallah.
- Sister Agatha pande za St. Peters Kindagarten Oysterbay
- Marehemu Mwalimu Mama Nunduma Oysterbay Primary School
- Marehemu Mwalimu Thomas Olinga Bugema Secondary ( Uganda )
- Mwalimu David Hapeworth Kabojja High School ( Uganda )
- Professor Smith G University of Cape Town ( South Africa )
- Mhadhiri Fr. Dkt. Bernadine Mfumbusa Saint Augustine University of Tanzania ( SAUT )
- Mhadhiri Dkt Ayub Ryoba ( SAUT ) school of Graduate studies.
Inaelekea elimu yako ya kuungaunga sana kama bashite.
Weka vyeti hapa MREMBO...wacha kurukaruka kama unapigwa pipe.Hata Baba yako kabla ya kufikiri kukutafuta Yeye na Yeye aliunganishiwa sana Mikuyenge ya Wanaume kunako Nyero lake ndipo akapata stater ya kumshindilia Bi Mkubwa wako na hatimaye leo kidudu Mtu Wewe unapumua.
UCLAS hiyo au?Dr. Riwa.
Weka vyeti hapa MREMBO...wacha kurukaruka kama unapigwa pipe.
Replies ndeeeeffffuuu halafu hazieleweki,sasa nimethibitisha kwamba wewe una elimu ya kuungaunga,WEWE ni ZERO.Mbona paipu hilo hilo kila siku nampiga Mamito wako! au hajakuambia kuwa Wewe ni bao langu la nje? Mwambie akuonyeshe Cheti changu cha Mkuyenge wangu baada ya kuwekewa Pete Muhimbili.