Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,576
- 7,308
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo shetani huwa namuomba Mungu amtwange hata na treni afie mbali huko!! Mwanaharamu kabisa yule!
ExactlySina ninayemchukia humu JF,unajibiwa kama ulivyokuja yanaisha tunasonga mbele,hakuna kuweka kinyongo!!
Hahahaa...lazima aingie kingKuna mdada yupo humu ananichukia sijui kama bado yupo na chuki.
Ila kwa Id yake maarufu naona anasema hawachukii watu???
Kwa taarifa zako nakutongoza kwa Id nyingine na upo kibla.
siku hizi humu ndani kuna masaa mbovu!! utadhani ni wodi ya vichaa!! au ndio uvamizi kutuka FB???!!!
Huyu sugar mamy wake sio FAIZAFOXY kwel??Hahahaha mada nyingine dah
Wote tuseme amina@faizafox na ndege JOHN Faiza kwenye udini na Ndege John kwenye kutetea madudu ya hii serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jitahidi kuanza na herufi kubwa kila baada ya kituo (nukta/.).Wale woote wanaojifanya walimu wa lugha humu ndani. kana kwamba ukiandika vizuri unapewa hela. waje hapa
Watu kama nyie ndo ndege John anataka mtafutane awagonge nako!. umeacha reply zote umekuja kwangu!. halafu mbona hata Wewe umekosea?.hii jf si ya kwako ingekuwa yako ndo ungetupangia jinsi ya kuandika. naomba usini quote sitaki shobo bobu!Mkuu jitahidi kuanza na herufi kubwa kila baada ya kituo (nukta/.).
Ahsante sana
Hahahaha mkuu hili povu la sabuni gani?Watu kama nyie ndo ndege John anataka mtafutane awagonge nako!. umeacha reply zote umekuja kwangu!. halafu mbona hata Wewe umekosea?.hii jf si ya kwako ingekuwa yako ndo ungetupangia jinsi ya kuandika. naomba usini quote sitaki shobo bobu!
We kuwa na adabu na mama yetu wa jamiiforum.Huyu sugar mamy wake sio FAIZAFOXY kwel??
Sema mama yako.Mbona unatupakazia majangaWe kuwa na adabu na mama yetu wa jamiiforum.
Aah hili ni la omo mkuuHahahaha mkuu hili povu la sabuni gani?
Akili ni nywele na wew nywele zote umenyoa Utaweza je kutambua kwamba ni mama yetu.
Kwakwel siwez maana kama ulivyosema nywele sina nishanyoa zote.Akili ni nywele na wew nywele zote umenyoa Utaweza je kutambua kwamba ni mama yetu.