Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,111
he he umemtaja huyu jamaa sibiri vita visivyo bunduki wala mishale bali michupichupi myekundu na mabima ya afya yanayopumua☺Kuna jamaa mmoja maarufu sana humu SIMCHUKII NINAMSHANGAA SANA KWA NYUZI zake Ila nahisi atakuwa MCHAWI SANA na anautumia huo uchawi + uongo wake kupata kipato
anajiita MSHANA MSHANA
Kuna watu wanakera Sana humu ndani.kwa michango Yao tu unaweza ukatamani asingekuwepogi.niwe mkweli tu kuna jamaa anaitwa kanungila Karim huyu jamaa sijui Kwanini damu yake na yangu hazijaendana.ashaniharibia mood yangu mara kibao.siku nikikutana naye live live kitaani nitamchezeshea vitofa mixer vitasa Kama vyote.kwa upande wa ma she Kuna huyu anaitwa miss natafuta simfagilii Wala Nini namchukia na sijui kwanini na m term Kama adui.mwingine ni huyu anajiita viatu vya samaki,wa mwisho kabisa Ni GENTAMICYNE na mwenyewe naonaga miyeyusho tu
Ni mtazamo tu washikaji msijenge chuki.na wewe mtaje mmoja tu au wawili ambao una beef nao.
namchukia bbade wangu sababu Nampenda sana siwezi kumuacha.
Hii nzuri hata mimi naunga mkono...Ndege John kwanini tusitafutane tupigane maana nina chuki zaidi kwako.
Mti wenye matunda...ISIS , cocochanel , FaizaFoxy jingalao @ Magonjwa mtambuka , mjingamimi ,John the babtist na mapopoma na walamba miguu wengine wanaolipwa buku 7 ili kumsifia shetani jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona povu aisee?Halafu wewe mjinga huwa unaniboa sana, moja kati ya wapuuzi nisiowapenda humu ni wewe.
ISIS , cocochanel , FaizaFoxy jingalao @ Magonjwa mtambuka , mjingamimi ,John the babtist na mapopoma na walamba miguu wengine wanaolipwa buku 7 ili kumsifia shetani jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyime UnyumbaISIS , cocochanel , FaizaFoxy jingalao @ Magonjwa mtambuka , mjingamimi ,John the babtist na mapopoma na walamba miguu wengine wanaolipwa buku 7 ili kumsifia shetani jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti nondo , vichwa maji bana .Wewe hujawahi kuwa na point ya maana , msukule wa lumumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kuthibitisha hilo hata aliyelike ni popoma mwenzako , na si ajabu hizi id zote ni zako
Sent using Jamii Forums mobile app