Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 768
- 1,959
KUMENUKA! CHUPUCHUPU Raia wa TANZANIA na KENYA Wazichape, NG'OMBE WAKATWA KATWA MAPANGA. Kumeibuka mtafaruku mkubwa kwenye mpaka Kenya na Tanzania huko Rombo ambapo wananchi nchi zote mbili wameshutumu upande mwingine kuhusika na kuanzisha vurugu baina wa Kenya wakulima wa Tanzania.
Global publisher
NDUGU ZETU WAKENYA TUNAWAPENDA SANA, SUMU HAONJWI.
Global publisher
NDUGU ZETU WAKENYA TUNAWAPENDA SANA, SUMU HAONJWI.