crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,951
Siku zote Tanzania tunaibiana. Precisely my point, wizi upo sana kwenye jamii yetu, sana tu na siku zote.Hujawahi kuibiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote Tanzania tunaibiana. Precisely my point, wizi upo sana kwenye jamii yetu, sana tu na siku zote.Hujawahi kuibiwa
Wako greenguard watafanya hiyo kazi mana wezi wote ni ccmHali ya usalama mikoa mbalimbali sio nzuri! Wizi ni kama umerudi kwa kasi sana, sasa hivi usalama wetu na mali zetu uko mashakani sana!
Hata hapa JF kila siku lazima ukutane na nyuzi za watu kuibiwa hiyo ni ishara tosha kuwa hali ni tete.
Jeshi la Polisi liko wapi? IGP Sirro yuko wapi? Mbona wakati wa hayati JPM mambo yalitulia, wapi tumekosea? Nini kifanyike?