mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,223
- 4,679
Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.
Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?
Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!
Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?
Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!
Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.