Mtaani Serikali ya Rais Samia inapoteza uungwaji mkono kwa kasi ya kutisha

Alianza vizuri mno nikasema km ni kiongozi tumepata. Ila sasa hivi kapotea yani sitaki hata kusikia jina lake.
1. Tozo ya miamala(big failure)
2. Mbowe stuff
3. Vaccine issue/contraversial
4. Bei ya mafuta kupaa
5. Kulipa kodi ya ardhi via LUKU
6. Kuacha mawaziri na watendaji wa juu kujibu watu ovyo. Ref Mwigulu anaambia waTZ wahamie Burundi.
7. Kuwaaacha kina Mdee na covid19 wenzie bungeni

Sitegemei maajabu yoyote amalize tu muda wake akapumzike kwao.
8.Kuruhusu gesi ipandeni bei Ili misitu iteketee kabisa.
Gesi zilinusuru misitu kwa 78% maana ilikuwa ni ghali kupikia kuni na mkaa.
 
Alianza vizuri mno nikasema km ni kiongozi tumepata. Ila sasa hivi kapotea yani sitaki hata kusikia jina lake.
1. Tozo ya miamala(big failure)
2. Mbowe stuff
3. Vaccine issue/contraversial
4. Bei ya mafuta kupaa
5. Kulipa kodi ya ardhi via LUKU
6. Kuacha mawaziri na watendaji wa juu kujibu watu ovyo. Ref Mwigulu anaambia waTZ wahamie Burundi.
7. Kuwaaacha kina Mdee na covid19 wenzie bungeni

Sitegemei maajabu yoyote amalize tu muda wake akapumzike kwao.
Kusema kweli mimi binafsi hata akiongea sina taimu ya kumsikiliza, serikali yake imekuwa onevu sana siku hizi
 
Salamu zimfikie ndugu Samia
Huku mtaani ndugu rais kuna malalamiko, wananchi wanasema hawakusomi, hawakuelewi, na nitakueleza nilichosikia huku mtaani!

1. Suala la tozo za miamala
Wananchi wanakusikilizia tu waone utafanya nini, lakini wameanza kuona dalili za wewe kupiga konakona. Kuna kila dalili ya hasira ya wananchi kuwa kubwa zaidi maana wanaona unawafanya kama watoto wadogo wa kudanganyadanganya

2. Uonevu wa jeshi la polisi juu ya wapinzani
Ndugu rais, sasa badala ya kushawishi kwa hoja, serikali yako imegeuka ya mabavu. Raia kwenye vijiwe vya kahawa, magazeti ya asubuhi wanashangazwa na miguvu unayotumia, wanauliza unawapeleka wapi?, mbona kila siku polisi wanaokamatakamata wapinzani, wamefanya kosa gani?

3. Kwenye Chanjo watu wanakwenda na kauli ya Magufuli kuwa chanjo hazifai
Binafsi naamini umeleta chanjo kwa nia njema, umefuata ushauri wa kisayansi. Hata hivyo sayansi ni kitu kimoja na perception ya wananchi ni kitu kingine, wananchi mtaani wanaamini kuna hela ya mzungu umechukua na unatafuta justification. Na hoja ambazo raia wanasema ni kuwa mbona wataalamu waliotwambia chanjo hazifai miezi michache iliyopita ndo haohao leo wanatwambia zinafaa, huko kufaa kumeanza lini. Watu wanaukubali msimamo wa hayati kwenye suala hili na wewe wanakuona kama mabeberu wamekuzidi nguvu

4. Influencers na kundi lililokuwa likikuunga mkono hapo awali linakukimbia kwa kasi
Wapo wale waliosimama kukutetea kwa hatua zako nzuri kabisa mwanzoni mwa utawala wako, watu kama akina Askofu Bagonza, watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii. Leo hii wameanza kujidistance na wewe, wanasema mabaya unayoanza kuyatenda kwa kufanya utawala wa kimabavu kupitia jeshi la polisi yanafuta mazuri uliyoyatenda kwenye siku zako za awali za utawala. Wakati kundi hili likikukimbia, lile kundi linalomkumbuka hayati bado halijakukubali sana, kwa hiyo usipokuwa makini unapoteza uungwaji mkono wa umma hivihivi, Labda uegemeze nguvu zako kwa vijana wa Simon Sirro, lakini hao ni wachache hawafiki hata 50000 nchi nzima, Sijui utawezaje.

5. Miradi ya Hayati hata uisimamie na kuifanikisha vipi, wananchi wanampa credit hayati.
Japo kwenye hili mimi binafsi naona wananchi hawana hoja ya msingi kwa sababu serikali ni taasisi endelevu lakini ukweli ni kuwa huku mtaani bado hawajakuidentify na kitu chako binafsi
Mwanzo raia walisema labda wewe utakuwa mwanademokrasia, mtenda haki lakini mtu wa maendeleo, leo hiyo credit wamekuondolea kwa sababu ya ukandamizaji na uonevu serikali yako inayoufanya kwa wapinzani, lakini wakati huohuo hata miradi unayoendelea kuifanya (Kitu ambacho ni kizuri) raia wanakuona unakamilisha kazi ya Magufuli. Ukipokea ndege, wanasema ni Magufuli huyo, Raia hawajakuelewa wewe ni Magufuli asiye Magufuli, Au ni Muungwana asiye Muungwana?

Mwisho:
Ndugu rais watanzania ni wapole sana lakini wakikuchukia watakuchukia kwelikweli. TENDA HAKI NA EPUKA UONEVU ili ukistaafu wakukumbuke kwa wema la sivyo watakunyanyapaa sana, Haya madaraka huwa yanaisha na yanapita usijisahau sana!
Eti amekimbilia rwanda kusikilizia upepo, yaani nchi hii tiss wamefeli sana
 
Mkuu nina swali hapo
Kwa nini serikali ya mama iliweka hizi tozo? Ok tuseme hakujua Kama watu watalalamika, sasa inakuwaje wanasema hawawezi kuziondoa(rejea kauli ya Msigwa Jana)
Tukubali tu huyu mama uraisi hauwezi
Kuna kamati imeundwa - tusubili majibu ya kamati.
 
Hivi mkuu kwanini huwa hujiongezi hata siku moja kuwa kwenye ukweli? Hivi ni kweli huoni na kusikia malalamiko ya wananchi kila kona kuhusu tozo?

Watu wameacha kufanya miamala zaidi ya robo tatu hizi ni takwimu halisi kutoka kwenye makampuni ya simu.

Usiwe mtu wakusifia tu wakati mwingine simama kwenye ukweli utaheshimika.
Achananae mkuu hao ndo bendera fata upepo
 
Hata kipenzi changu mlimkosoa the same tu hakuna rais atatokea asikosolewe ...so ndio asili yenu binadamu kuongea...lala salama chuma ya kijerumani...jiwe kuu walilokataa waashi....Leo kiko wapi wanakukumbuka
 
Salamu zimfikie ndugu Samia
Huku mtaani ndugu rais kuna malalamiko, wananchi wanasema hawakusomi, hawakuelewi, na nitakueleza nilichosikia huku mtaani!

1. Suala la tozo za miamala
Wananchi wanakusikilizia tu waone utafanya nini, lakini wameanza kuona dalili za wewe kupiga konakona. Kuna kila dalili ya hasira ya wananchi kuwa kubwa zaidi maana wanaona unawafanya kama watoto wadogo wa kudanganyadanganya

2. Uonevu wa jeshi la polisi juu ya wapinzani
Ndugu rais, sasa badala ya kushawishi kwa hoja, serikali yako imegeuka ya mabavu. Raia kwenye vijiwe vya kahawa, magazeti ya asubuhi wanashangazwa na miguvu unayotumia, wanauliza unawapeleka wapi?, mbona kila siku polisi wanaokamatakamata wapinzani, wamefanya kosa gani?

3. Kwenye Chanjo watu wanakwenda na kauli ya Magufuli kuwa chanjo hazifai
Binafsi naamini umeleta chanjo kwa nia njema, umefuata ushauri wa kisayansi. Hata hivyo sayansi ni kitu kimoja na perception ya wananchi ni kitu kingine, wananchi mtaani wanaamini kuna hela ya mzungu umechukua na unatafuta justification. Na hoja ambazo raia wanasema ni kuwa mbona wataalamu waliotwambia chanjo hazifai miezi michache iliyopita ndo haohao leo wanatwambia zinafaa, huko kufaa kumeanza lini. Watu wanaukubali msimamo wa hayati kwenye suala hili na wewe wanakuona kama mabeberu wamekuzidi nguvu

4. Influencers na kundi lililokuwa likikuunga mkono hapo awali linakukimbia kwa kasi
Wapo wale waliosimama kukutetea kwa hatua zako nzuri kabisa mwanzoni mwa utawala wako, watu kama akina Askofu Bagonza, watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii. Leo hii wameanza kujidistance na wewe, wanasema mabaya unayoanza kuyatenda kwa kufanya utawala wa kimabavu kupitia jeshi la polisi yanafuta mazuri uliyoyatenda kwenye siku zako za awali za utawala. Wakati kundi hili likikukimbia, lile kundi linalomkumbuka hayati bado halijakukubali sana, kwa hiyo usipokuwa makini unapoteza uungwaji mkono wa umma hivihivi, Labda uegemeze nguvu zako kwa vijana wa Simon Sirro, lakini hao ni wachache hawafiki hata 50000 nchi nzima, Sijui utawezaje.

5. Miradi ya Hayati hata uisimamie na kuifanikisha vipi, wananchi wanampa credit hayati.
Japo kwenye hili mimi binafsi naona wananchi hawana hoja ya msingi kwa sababu serikali ni taasisi endelevu lakini ukweli ni kuwa huku mtaani bado hawajakuidentify na kitu chako binafsi
Mwanzo raia walisema labda wewe utakuwa mwanademokrasia, mtenda haki lakini mtu wa maendeleo, leo hiyo credit wamekuondolea kwa sababu ya ukandamizaji na uonevu serikali yako inayoufanya kwa wapinzani, lakini wakati huohuo hata miradi unayoendelea kuifanya (Kitu ambacho ni kizuri) raia wanakuona unakamilisha kazi ya Magufuli. Ukipokea ndege, wanasema ni Magufuli huyo, Raia hawajakuelewa wewe ni Magufuli asiye Magufuli, Au ni Muungwana asiye Muungwana?

Mwisho:
Ndugu rais watanzania ni wapole sana lakini wakikuchukia watakuchukia kwelikweli. TENDA HAKI NA EPUKA UONEVU ili ukistaafu wakukumbuke kwa wema la sivyo watakunyanyapaa sana, Haya madaraka huwa yanaisha na yanapita usijisahau sana!
Unaunga mkono ndio,lakini sio kila kitu,vingine ni mbigili.
 
Usilalamike na wala kuita mods waje kumpiga mtu pin haisaidii kwa sababu....

You deserve it,huwezi kusimama hapa kuwasemea watu huyu aloanzisha uzi hapa hakai mbinguni yupo mtaani wanao-comment JF wapo mtaani hawakai mbinguni wewe ulitaka wale wenye malalamiko waje kwako wakugongee mlango wakueleze ndo uamini?wewe ilibidi huu uzi uufungue hukuelewa kinachozungumzwa u-click home button urudi utafute kingine cha kusoma siyo kuandika vitu vya ajabu ajabu.
Safi sana mkuu majitu mengine yanajitoa fahamu
 
Kosa halianzii kwake bali linaanzia kwa Mwendazake alipomteua kuwa Mgombea mwenza.

Bazungu balonga; it is a vicious cycle.
Walio muua mwendazake awakufanya kosa ????,kifo cha magufuli kitawasumbua sana
 
Amepoteza mvuto sana nakuambia. Nafasi hiyo ni kubwa sana kwake anashindwa kuihimili
Ni vizuri watu waku underate halafu uje uwashangaze kwa matokeo. Kuliko watu kuweka matumaini makubwa halafu matokeo yanakuwa mediocre. Piga kazi Rais SSH
 
Salamu zimfikie ndugu Samia
Huku mtaani ndugu rais kuna malalamiko, wananchi wanasema hawakusomi, hawakuelewi, na nitakueleza nilichosikia huku mtaani!

1. Suala la tozo za miamala
Wananchi wanakusikilizia tu waone utafanya nini, lakini wameanza kuona dalili za wewe kupiga konakona. Kuna kila dalili ya hasira ya wananchi kuwa kubwa zaidi maana wanaona unawafanya kama watoto wadogo wa kudanganyadanganya

2. Uonevu wa jeshi la polisi juu ya wapinzani
Ndugu rais, sasa badala ya kushawishi kwa hoja, serikali yako imegeuka ya mabavu. Raia kwenye vijiwe vya kahawa, magazeti ya asubuhi wanashangazwa na miguvu unayotumia, wanauliza unawapeleka wapi?, mbona kila siku polisi wanaokamatakamata wapinzani, wamefanya kosa gani?

3. Kwenye Chanjo watu wanakwenda na kauli ya Magufuli kuwa chanjo hazifai
Binafsi naamini umeleta chanjo kwa nia njema, umefuata ushauri wa kisayansi. Hata hivyo sayansi ni kitu kimoja na perception ya wananchi ni kitu kingine, wananchi mtaani wanaamini kuna hela ya mzungu umechukua na unatafuta justification. Na hoja ambazo raia wanasema ni kuwa mbona wataalamu waliotwambia chanjo hazifai miezi michache iliyopita ndo haohao leo wanatwambia zinafaa, huko kufaa kumeanza lini. Watu wanaukubali msimamo wa hayati kwenye suala hili na wewe wanakuona kama mabeberu wamekuzidi nguvu

4. Influencers na kundi lililokuwa likikuunga mkono hapo awali linakukimbia kwa kasi
Wapo wale waliosimama kukutetea kwa hatua zako nzuri kabisa mwanzoni mwa utawala wako, watu kama akina Askofu Bagonza, watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii. Leo hii wameanza kujidistance na wewe, wanasema mabaya unayoanza kuyatenda kwa kufanya utawala wa kimabavu kupitia jeshi la polisi yanafuta mazuri uliyoyatenda kwenye siku zako za awali za utawala. Wakati kundi hili likikukimbia, lile kundi linalomkumbuka hayati bado halijakukubali sana, kwa hiyo usipokuwa makini unapoteza uungwaji mkono wa umma hivihivi, Labda uegemeze nguvu zako kwa vijana wa Simon Sirro, lakini hao ni wachache hawafiki hata 50000 nchi nzima, Sijui utawezaje.

5. Miradi ya Hayati hata uisimamie na kuifanikisha vipi, wananchi wanampa credit hayati.
Japo kwenye hili mimi binafsi naona wananchi hawana hoja ya msingi kwa sababu serikali ni taasisi endelevu lakini ukweli ni kuwa huku mtaani bado hawajakuidentify na kitu chako binafsi
Mwanzo raia walisema labda wewe utakuwa mwanademokrasia, mtenda haki lakini mtu wa maendeleo, leo hiyo credit wamekuondolea kwa sababu ya ukandamizaji na uonevu serikali yako inayoufanya kwa wapinzani, lakini wakati huohuo hata miradi unayoendelea kuifanya (Kitu ambacho ni kizuri) raia wanakuona unakamilisha kazi ya Magufuli. Ukipokea ndege, wanasema ni Magufuli huyo, Raia hawajakuelewa wewe ni Magufuli asiye Magufuli, Au ni Muungwana asiye Muungwana?

Mwisho:
Ndugu rais watanzania ni wapole sana lakini wakikuchukia watakuchukia kwelikweli. TENDA HAKI NA EPUKA UONEVU ili ukistaafu wakukumbuke kwa wema la sivyo watakunyanyapaa sana, Haya madaraka huwa yanaisha na yanapita usijisahau sana!
Labda mtaa wa kwenu Mkuu ila sio mtaani kwetu.

Watu washamuelewa mama,we kwa akili yako watu kama wafanyabiashara,wafanyakazi, wakandarasi na mafundi unaweza waambia kwamba hawamuelewi mama?

Uongo huu hautakusaidia mkuu tunasimama na Hangaya hadi 2030..
 
Salamu zimfikie ndugu Samia
Huku mtaani ndugu rais kuna malalamiko, wananchi wanasema hawakusomi, hawakuelewi, na nitakueleza nilichosikia huku mtaani!

1. Suala la tozo za miamala
Wananchi wanakusikilizia tu waone utafanya nini, lakini wameanza kuona dalili za wewe kupiga konakona. Kuna kila dalili ya hasira ya wananchi kuwa kubwa zaidi maana wanaona unawafanya kama watoto wadogo wa kudanganyadanganya

2. Uonevu wa jeshi la polisi juu ya wapinzani
Ndugu rais, sasa badala ya kushawishi kwa hoja, serikali yako imegeuka ya mabavu. Raia kwenye vijiwe vya kahawa, magazeti ya asubuhi wanashangazwa na miguvu unayotumia, wanauliza unawapeleka wapi?, mbona kila siku polisi wanaokamatakamata wapinzani, wamefanya kosa gani?

3. Kwenye Chanjo watu wanakwenda na kauli ya Magufuli kuwa chanjo hazifai
Binafsi naamini umeleta chanjo kwa nia njema, umefuata ushauri wa kisayansi. Hata hivyo sayansi ni kitu kimoja na perception ya wananchi ni kitu kingine, wananchi mtaani wanaamini kuna hela ya mzungu umechukua na unatafuta justification. Na hoja ambazo raia wanasema ni kuwa mbona wataalamu waliotwambia chanjo hazifai miezi michache iliyopita ndo haohao leo wanatwambia zinafaa, huko kufaa kumeanza lini. Watu wanaukubali msimamo wa hayati kwenye suala hili na wewe wanakuona kama mabeberu wamekuzidi nguvu

4. Influencers na kundi lililokuwa likikuunga mkono hapo awali linakukimbia kwa kasi
Wapo wale waliosimama kukutetea kwa hatua zako nzuri kabisa mwanzoni mwa utawala wako, watu kama akina Askofu Bagonza, watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii. Leo hii wameanza kujidistance na wewe, wanasema mabaya unayoanza kuyatenda kwa kufanya utawala wa kimabavu kupitia jeshi la polisi yanafuta mazuri uliyoyatenda kwenye siku zako za awali za utawala. Wakati kundi hili likikukimbia, lile kundi linalomkumbuka hayati bado halijakukubali sana, kwa hiyo usipokuwa makini unapoteza uungwaji mkono wa umma hivihivi, Labda uegemeze nguvu zako kwa vijana wa Simon Sirro, lakini hao ni wachache hawafiki hata 50000 nchi nzima, Sijui utawezaje.

5. Miradi ya Hayati hata uisimamie na kuifanikisha vipi, wananchi wanampa credit hayati.
Japo kwenye hili mimi binafsi naona wananchi hawana hoja ya msingi kwa sababu serikali ni taasisi endelevu lakini ukweli ni kuwa huku mtaani bado hawajakuidentify na kitu chako binafsi
Mwanzo raia walisema labda wewe utakuwa mwanademokrasia, mtenda haki lakini mtu wa maendeleo, leo hiyo credit wamekuondolea kwa sababu ya ukandamizaji na uonevu serikali yako inayoufanya kwa wapinzani, lakini wakati huohuo hata miradi unayoendelea kuifanya (Kitu ambacho ni kizuri) raia wanakuona unakamilisha kazi ya Magufuli. Ukipokea ndege, wanasema ni Magufuli huyo, Raia hawajakuelewa wewe ni Magufuli asiye Magufuli, Au ni Muungwana asiye Muungwana?

Mwisho:
Ndugu rais watanzania ni wapole sana lakini wakikuchukia watakuchukia kwelikweli. TENDA HAKI NA EPUKA UONEVU ili ukistaafu wakukumbuke kwa wema la sivyo watakunyanyapaa sana, Haya madaraka huwa yanaisha na yanapita usijisahau sana!
Umesahau kuteua wapigaji waliyokataliwa na magufuli.
 
Ukweli ni kwamba makato na tozo zimekuwa nyingi mnooo na zinaumiza sana.

Mfano, ukitaka kuingia kwenye huduma za kibenki kupitia SIMBANKING, lazima uwe na salio la kawaida ili ukatwe sh 100/= kila unapotaka kuingia kwenye akaunti yako ya benki

Ukishaingia na kupata huduma yoyote, benki nayo inakutoza kwa huduma husika

Nenda kwenye Mafuta iwe petrol, dizel etc, kila lita moja unatozwa 100/= jambo ambalo limeifanya bei ya mafuta kuwa juu na kuleta mateso kwa wananchi

Miamala ya SIMU daah😭😭 hali ni ya hatari sana, mateso kabisa

Tunalipa kwa kila huduma tunayoihitaji, kwa kweli ni hatari.

HATUKATAI KULIPA KODI, ila co hizi TOZO

TUNA madini, wanyama pori, bandari, etc lakina tunawekeana MITOZO ya ajabu ajabu,

Kwa ujumla, hawa jamaa wameshindwa kufikiria zaidi kuhusu vyanzo vipya vya mapato tofauti na hii MITOZO, INAMUHARIBIA MH RAIS
Wakati huo, kila mwisho wa mwezi mtaani kwenu wanakuja watu kutoka serikali za mitaa wanataka sh 3000 eti ulinzi shirikishi. Ukikataa wanakuletea askari wanakukamata wanasema hiyo ni "by law" ambayo wananchi mlipitisha nyie wenyewe kwenye kikao cha wananchi.
Ukiwaomba sheria, wanakupa sheria ya miaka ya 1980's inayotaka wakazi wa eneo fulani wahakikishe ulinzi na usalama ktk maeneo yao, kwa hiyo kama wewe utaki kutoa hela basi uamke usiku uanze zamu za kulinda 😁😁
 
Ukweli ni kwamba makato na tozo zimekuwa nyingi mnooo na zinaumiza sana.

Mfano, ukitaka kuingia kwenye huduma za kibenki kupitia SIMBANKING, lazima uwe na salio la kawaida ili ukatwe sh 100/= kila unapotaka kuingia kwenye akaunti yako ya benki

Ukishaingia na kupata huduma yoyote, benki nayo inakutoza kwa huduma husika

Nenda kwenye Mafuta iwe petrol, dizel etc, kila lita moja unatozwa 100/= jambo ambalo limeifanya bei ya mafuta kuwa juu na kuleta mateso kwa wananchi

Miamala ya SIMU daah😭😭 hali ni ya hatari sana, mateso kabisa

Tunalipa kwa kila huduma tunayoihitaji, kwa kweli ni hatari.

HATUKATAI KULIPA KODI, ila co hizi TOZO

TUNA madini, wanyama pori, bandari, etc lakina tunawekeana MITOZO ya ajabu ajabu,

Kwa ujumla, hawa jamaa wameshindwa kufikiria zaidi kuhusu vyanzo vipya vya mapato tofauti na hii MITOZO, INAMUHARIBIA MH RAIS
Kila Mwanzo ni mgumu, tukija ona mafanikio ya hizi tozo tutakuja kuishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuthubutu. Tukitaka maendeleo ya kweli lazima wananchi wote wachangie kwa uwezo wa kila mmoja wetu. Awamu ya sita inaongea ukweli - si almasi wala dhahabu zitatubeba, lazima kila mwananchi achangie kwa uwezo wake. Mtumiaji mkubwa atakatwaa zaidi, mtumiaji mdogo naye atalipa kwa jinsi anavyotumia. Kumbuka kwamba awamu ya sita ina miaka mitatu tu ya kufanya kazi haiwezi kusubiri hela za wahisani au wenye makampuni ya madini. Makubaliano na watu wa nje yanachukua muda mrefu kutekelezwa. Serikali inatakiwa kushughulikia wezi wa pesa za umma haraka na bila huruma.
 
Ukweli ni kwamba makato na tozo zimekuwa nyingi mnooo na zinaumiza sana.

Mfano, ukitaka kuingia kwenye huduma za kibenki kupitia SIMBANKING, lazima uwe na salio la kawaida ili ukatwe sh 100/= kila unapotaka kuingia kwenye akaunti yako ya benki

Ukishaingia na kupata huduma yoyote, benki nayo inakutoza kwa huduma husika

Nenda kwenye Mafuta iwe petrol, dizel etc, kila lita moja unatozwa 100/= jambo ambalo limeifanya bei ya mafuta kuwa juu na kuleta mateso kwa wananchi

Miamala ya SIMU daah😭😭 hali ni ya hatari sana, mateso kabisa

Tunalipa kwa kila huduma tunayoihitaji, kwa kweli ni hatari.

HATUKATAI KULIPA KODI, ila co hizi TOZO

TUNA madini, wanyama pori, bandari, etc lakina tunawekeana MITOZO ya ajabu ajabu,

Kwa ujumla, hawa jamaa wameshindwa kufikiria zaidi kuhusu vyanzo vipya vya mapato tofauti na hii MITOZO, INAMUHARIBIA MH RAIS
Siyo kila mtanzanzania anaweza kuchangia hoja ya uchumi. Wewe Bupa8419 Fanya shughuli zingine kama kumwagalia maua uani
 
33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom