Mtaani Serikali ya Rais Samia inapoteza uungwaji mkono kwa kasi ya kutisha

Salamu zimfikie ndugu Samia
Huku mtaani ndugu rais kuna malalamiko, wananchi wanasema hawakusomi, hawakuelewi, na nitakueleza nilichosikia huku mtaani!

1. Suala la tozo za miamala
Wananchi wanakusikilizia tu waone utafanya nini, lakini wameanza kuona dalili za wewe kupiga konakona. Kuna kila dalili ya hasira ya wananchi kuwa kubwa zaidi maana wanaona unawafanya kama watoto wadogo wa kudanganyadanganya

2. Uonevu wa jeshi la polisi juu ya wapinzani
Ndugu rais, sasa badala ya kushawishi kwa hoja, serikali yako imegeuka ya mabavu. Raia kwenye vijiwe vya kahawa, magazeti ya asubuhi wanashangazwa na miguvu unayotumia, wanauliza unawapeleka wapi?, mbona kila siku polisi wanaokamatakamata wapinzani, wamefanya kosa gani?

3. Kwenye Chanjo watu wanakwenda na kauli ya Magufuli kuwa chanjo hazifai
Binafsi naamini umeleta chanjo kwa nia njema, umefuata ushauri wa kisayansi. Hata hivyo sayansi ni kitu kimoja na perception ya wananchi ni kitu kingine, wananchi mtaani wanaamini kuna hela ya mzungu umechukua na unatafuta justification. Na hoja ambazo raia wanasema ni kuwa mbona wataalamu waliotwambia chanjo hazifai miezi michache iliyopita ndo haohao leo wanatwambia zinafaa, huko kufaa kumeanza lini. Watu wanaukubali msimamo wa hayati kwenye suala hili na wewe wanakuona kama mabeberu wamekuzidi nguvu

4. Influencers na kundi lililokuwa likikuunga mkono hapo awali linakukimbia kwa kasi
Wapo wale waliosimama kukutetea kwa hatua zako nzuri kabisa mwanzoni mwa utawala wako, watu kama akina Askofu Bagonza, watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii. Leo hii wameanza kujidistance na wewe, wanasema mabaya unayoanza kuyatenda kwa kufanya utawala wa kimabavu kupitia jeshi la polisi yanafuta mazuri uliyoyatenda kwenye siku zako za awali za utawala. Wakati kundi hili likikukimbia, lile kundi linalomkumbuka hayati bado halijakukubali sana, kwa hiyo usipokuwa makini unapoteza uungwaji mkono wa umma hivihivi, Labda uegemeze nguvu zako kwa vijana wa Simon Sirro, lakini hao ni wachache hawafiki hata 50000 nchi nzima, Sijui utawezaje.

5. Miradi ya Hayati hata uisimamie na kuifanikisha vipi, wananchi wanampa credit hayati.
Japo kwenye hili mimi binafsi naona wananchi hawana hoja ya msingi kwa sababu serikali ni taasisi endelevu lakini ukweli ni kuwa huku mtaani bado hawajakuidentify na kitu chako binafsi
Mwanzo raia walisema labda wewe utakuwa mwanademokrasia, mtenda haki lakini mtu wa maendeleo, leo hiyo credit wamekuondolea kwa sababu ya ukandamizaji na uonevu serikali yako inayoufanya kwa wapinzani, lakini wakati huohuo hata miradi unayoendelea kuifanya (Kitu ambacho ni kizuri) raia wanakuona unakamilisha kazi ya Magufuli. Ukipokea ndege, wanasema ni Magufuli huyo, Raia hawajakuelewa wewe ni Magufuli asiye Magufuli, Au ni Muungwana asiye Muungwana?

Mwisho:
Ndugu rais watanzania ni wapole sana lakini wakikuchukia watakuchukia kwelikweli. TENDA HAKI NA EPUKA UONEVU ili ukistaafu wakukumbuke kwa wema la sivyo watakunyanyapaa sana, Haya madaraka huwa yanaisha na yanapita usijisahau sana!
Tatizo wananchi wanataka Rais Samia aendeshe nchi kama Magufuli alivyokwa . Hapa tunasahau kuwa hawa ni binadamu wawili wenye uzoefu , utashi na maono tofauti. Ingawa wanaongozwa na ilani ya CCM. Vilevile serikali ya awamu ya sita imejaribu siasa za uwazi na ukweli. WaTz wengine hawapo tayari kwa siasa hizi- wanataka kusikia mambo mazuri tu masikioni mwao. Awamu ya sita imesema imesikia vilio vya wananchi na wanafanyia kazi malalamiko -tuvute subira. Kuongoza nchi ni kazi ngumu - tumpatie Rais Samia muda zaidi kama yeye mwenyewe alivyoomba ili aweke safu nzuri ya kuendeleza Tz. Mambo kama katiba yatafuata tu! Waswahili wanasema ahadi ni deni.
 
Tatizo wananchi wanataka Rais Samia aendeshe nchi kama Magufuli alivyokwa . Hapa tunasahau kuwa hawa ni binadamu wawili wenye uzoefu , utashi na maono tofauti. Ingawa wanaongozwa na ilani ya CCM. Vilevile serikali ya awamu ya sita imejaribu siasa za uwazi na ukweli. WaTz wengine hawapo tayari kwa siasa hizi- wanataka kusikia mambo mazuri tu masikioni mwao. Awamu ya sita imesema imesikia vilio vya wananchi na wanafanyia kazi malalamiko -tuvute subira. Kuongoza nchi ni kazi ngumu - tumpatie Rais Samia muda zaidi kama yeye mwenyewe alivyoomba ili aweke safu nzuri ya kuendeleza Tz. Mambo kama katiba yatafuata tu! Waswahili wanasema ahadi ni deni.
Watu wanamuona anavyovunja katiba na kuminya haki za kikatiba za makundi mengine ya kisiasa kama vile vyama vya siasa, wamemuondolea zile credits za kudhani ni muungwana
 
Salamu zimfikie ndugu Samia
Huku mtaani ndugu rais kuna malalamiko, wananchi wanasema hawakusomi, hawakuelewi, na nitakueleza nilichosikia huku mtaani!

1. Suala la tozo za miamala
Wananchi wanakusikilizia tu waone utafanya nini, lakini wameanza kuona dalili za wewe kupiga konakona. Kuna kila dalili ya hasira ya wananchi kuwa kubwa zaidi maana wanaona unawafanya kama watoto wadogo wa kudanganyadanganya

2. Uonevu wa jeshi la polisi juu ya wapinzani
Ndugu rais, sasa badala ya kushawishi kwa hoja, serikali yako imegeuka ya mabavu. Raia kwenye vijiwe vya kahawa, magazeti ya asubuhi wanashangazwa na miguvu unayotumia, wanauliza unawapeleka wapi?, mbona kila siku polisi wanaokamatakamata wapinzani, wamefanya kosa gani?

3. Kwenye Chanjo watu wanakwenda na kauli ya Magufuli kuwa chanjo hazifai
Binafsi naamini umeleta chanjo kwa nia njema, umefuata ushauri wa kisayansi. Hata hivyo sayansi ni kitu kimoja na perception ya wananchi ni kitu kingine, wananchi mtaani wanaamini kuna hela ya mzungu umechukua na unatafuta justification. Na hoja ambazo raia wanasema ni kuwa mbona wataalamu waliotwambia chanjo hazifai miezi michache iliyopita ndo haohao leo wanatwambia zinafaa, huko kufaa kumeanza lini. Watu wanaukubali msimamo wa hayati kwenye suala hili na wewe wanakuona kama mabeberu wamekuzidi nguvu

4. Influencers na kundi lililokuwa likikuunga mkono hapo awali linakukimbia kwa kasi
Wapo wale waliosimama kukutetea kwa hatua zako nzuri kabisa mwanzoni mwa utawala wako, watu kama akina Askofu Bagonza, watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii. Leo hii wameanza kujidistance na wewe, wanasema mabaya unayoanza kuyatenda kwa kufanya utawala wa kimabavu kupitia jeshi la polisi yanafuta mazuri uliyoyatenda kwenye siku zako za awali za utawala. Wakati kundi hili likikukimbia, lile kundi linalomkumbuka hayati bado halijakukubali sana, kwa hiyo usipokuwa makini unapoteza uungwaji mkono wa umma hivihivi, Labda uegemeze nguvu zako kwa vijana wa Simon Sirro, lakini hao ni wachache hawafiki hata 50000 nchi nzima, Sijui utawezaje.

5. Miradi ya Hayati hata uisimamie na kuifanikisha vipi, wananchi wanampa credit hayati.
Japo kwenye hili mimi binafsi naona wananchi hawana hoja ya msingi kwa sababu serikali ni taasisi endelevu lakini ukweli ni kuwa huku mtaani bado hawajakuidentify na kitu chako binafsi
Mwanzo raia walisema labda wewe utakuwa mwanademokrasia, mtenda haki lakini mtu wa maendeleo, leo hiyo credit wamekuondolea kwa sababu ya ukandamizaji na uonevu serikali yako inayoufanya kwa wapinzani, lakini wakati huohuo hata miradi unayoendelea kuifanya (Kitu ambacho ni kizuri) raia wanakuona unakamilisha kazi ya Magufuli. Ukipokea ndege, wanasema ni Magufuli huyo, Raia hawajakuelewa wewe ni Magufuli asiye Magufuli, Au ni Muungwana asiye Muungwana?

Mwisho:
Ndugu rais watanzania ni wapole sana lakini wakikuchukia watakuchukia kwelikweli. TENDA HAKI NA EPUKA UONEVU ili ukistaafu wakukumbuke kwa wema la sivyo watakunyanyapaa sana, Haya madaraka huwa yanaisha na yanapita usijisahau sana!
Pro-Chadema bana naona mnalia lia na kuwasemea watamzania, Rais asipoungwa mkono si ndiyo faida kwa Chadema au mnatakaje?
 
Kwa jinsi Magufuli alivyotukanwa humu mimi binafsi naona haya yanayoendelea ni sawa tu. Watanzania maneno mengi na hatuna jema
Tozo za simu,
Kupanda maradufu Kwa mbolea na gesi,
Vifaa vya ujenzi vinazidi kupaa,
Mafuta yakupikia hayashikiki. petrol bei juu!.
Sintofahamu kuhusu chanjo ya corona.
Ndio Kwanza asubuhi tutarajie mengi ya ajabu zaidi.
Hata hivyo sisi sio wanyonge tutalipa tu hamna tabu. Wasiotaka wahame nchi!
Lala salama Magufuli
Ukiwa kiongozi Bora ufanye unachoamini inafaa kwa unaowaongoza bila kuvunja taratibu
 
Tatizo wananchi wanataka Rais Samia aendeshe nchi kama Magufuli alivyokwa . Hapa tunasahau kuwa hawa ni binadamu wawili wenye uzoefu , utashi na maono tofauti. Ingawa wanaongozwa na ilani ya CCM. Vilevile serikali ya awamu ya sita imejaribu siasa za uwazi na ukweli. WaTz wengine hawapo tayari kwa siasa hizi- wanataka kusikia mambo mazuri tu masikioni mwao. Awamu ya sita imesema imesikia vilio vya wananchi na wanafanyia kazi malalamiko -tuvute subira. Kuongoza nchi ni kazi ngumu - tumpatie Rais Samia muda zaidi kama yeye mwenyewe alivyoomba ili aweke safu nzuri ya kuendeleza Tz. Mambo kama katiba yatafuata tu! Waswahili wanasema ahadi ni deni.
Mkuu nina swali hapo
Kwa nini serikali ya mama iliweka hizi tozo? Ok tuseme hakujua Kama watu watalalamika, sasa inakuwaje wanasema hawawezi kuziondoa(rejea kauli ya Msigwa Jana)
Tukubali tu huyu mama uraisi hauwezi
 
Toka huyu Mama aingie Madarakani haijawahi kupita siku Umeme haujakatika.. Maji nayo yamekuwa ya shida shida tu.
 
Unakuaje rais na unashikiwa masikio? Ndio maana nikasema hakua tayari kuwa kwenye nafasi hiyo. Magufuli aliitumia ipasavyo hiyo nafasi japo hakua na maono. Laiti angekua na maono, angetufikisha mbali sana. Hakuyumbushwa kwa kile alichokiamini yeye

Mambo hua hayopa mepesi kihivo mkuu, Asilimia kubwa ya maraisi wa mpito huwa wanakosa nguvu ya kisiasa, si yeye hata sehemu nyingi Duniani. Ameingia kwenye system katikati bila ya kuwa na support ya kutosha kwenye system, so ni rahisi kupelekeshwa na watu ambao walikua na influence kwenye system kwa mda ule.
 
Mitaa ipi??Huku nnapokaa watu hawajadili siasa kabisa..hawana hata time na mijadala..

Ukiingia JF ndo unakuta malalamiko tele..

Huku mitaani no body cares that much
Wewe ni mpumbavu
Usilalamike na wala kuita mods waje kumpiga mtu pin haisaidii kwa sababu....

You deserve it,huwezi kusimama hapa kuwasemea watu huyu aloanzisha uzi hapa hakai mbinguni yupo mtaani wanao-comment JF wapo mtaani hawakai mbinguni wewe ulitaka wale wenye malalamiko waje kwako wakugongee mlango wakueleze ndo uamini?wewe ilibidi huu uzi uufungue hukuelewa kinachozungumzwa u-click home button urudi utafute kingine cha kusoma siyo kuandika vitu vya ajabu ajabu.
 
Mitaa ipi??Huku nnapokaa watu hawajadili siasa kabisa..hawana hata time na mijadala..

Ukiingia JF ndo unakuta malalamiko tele..

Huku mitaani no body cares that much
Mie huku Kilimanjaro hakuna mijadala inayozungumzwa humu. Wananchi wanajadili masuala ya maendeleo.
 
Salamu zimfikie ndugu Samia
Huku mtaani ndugu rais kuna malalamiko, wananchi wanasema hawakusomi, hawakuelewi, na nitakueleza nilichosikia huku mtaani!

1. Suala la tozo za miamala
Wananchi wanakusikilizia tu waone utafanya nini, lakini wameanza kuona dalili za wewe kupiga konakona. Kuna kila dalili ya hasira ya wananchi kuwa kubwa zaidi maana wanaona unawafanya kama watoto wadogo wa kudanganyadanganya

2. Uonevu wa jeshi la polisi juu ya wapinzani
Ndugu rais, sasa badala ya kushawishi kwa hoja, serikali yako imegeuka ya mabavu. Raia kwenye vijiwe vya kahawa, magazeti ya asubuhi wanashangazwa na miguvu unayotumia, wanauliza unawapeleka wapi?, mbona kila siku polisi wanaokamatakamata wapinzani, wamefanya kosa gani?

3. Kwenye Chanjo watu wanakwenda na kauli ya Magufuli kuwa chanjo hazifai
Binafsi naamini umeleta chanjo kwa nia njema, umefuata ushauri wa kisayansi. Hata hivyo sayansi ni kitu kimoja na perception ya wananchi ni kitu kingine, wananchi mtaani wanaamini kuna hela ya mzungu umechukua na unatafuta justification. Na hoja ambazo raia wanasema ni kuwa mbona wataalamu waliotwambia chanjo hazifai miezi michache iliyopita ndo haohao leo wanatwambia zinafaa, huko kufaa kumeanza lini. Watu wanaukubali msimamo wa hayati kwenye suala hili na wewe wanakuona kama mabeberu wamekuzidi nguvu

4. Influencers na kundi lililokuwa likikuunga mkono hapo awali linakukimbia kwa kasi
Wapo wale waliosimama kukutetea kwa hatua zako nzuri kabisa mwanzoni mwa utawala wako, watu kama akina Askofu Bagonza, watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii. Leo hii wameanza kujidistance na wewe, wanasema mabaya unayoanza kuyatenda kwa kufanya utawala wa kimabavu kupitia jeshi la polisi yanafuta mazuri uliyoyatenda kwenye siku zako za awali za utawala. Wakati kundi hili likikukimbia, lile kundi linalomkumbuka hayati bado halijakukubali sana, kwa hiyo usipokuwa makini unapoteza uungwaji mkono wa umma hivihivi, Labda uegemeze nguvu zako kwa vijana wa Simon Sirro, lakini hao ni wachache hawafiki hata 50000 nchi nzima, Sijui utawezaje.

5. Miradi ya Hayati hata uisimamie na kuifanikisha vipi, wananchi wanampa credit hayati.
Japo kwenye hili mimi binafsi naona wananchi hawana hoja ya msingi kwa sababu serikali ni taasisi endelevu lakini ukweli ni kuwa huku mtaani bado hawajakuidentify na kitu chako binafsi
Mwanzo raia walisema labda wewe utakuwa mwanademokrasia, mtenda haki lakini mtu wa maendeleo, leo hiyo credit wamekuondolea kwa sababu ya ukandamizaji na uonevu serikali yako inayoufanya kwa wapinzani, lakini wakati huohuo hata miradi unayoendelea kuifanya (Kitu ambacho ni kizuri) raia wanakuona unakamilisha kazi ya Magufuli. Ukipokea ndege, wanasema ni Magufuli huyo, Raia hawajakuelewa wewe ni Magufuli asiye Magufuli, Au ni Muungwana asiye Muungwana?

Mwisho:
Ndugu rais watanzania ni wapole sana lakini wakikuchukia watakuchukia kwelikweli. TENDA HAKI NA EPUKA UONEVU ili ukistaafu wakukumbuke kwa wema la sivyo watakunyanyapaa sana, Haya madaraka huwa yanaisha na yanapita usijisahau sana!
Mkuu siyo kwamba unademka tu au?
 
Salamu zimfikie ndugu Samia
Huku mtaani ndugu rais kuna malalamiko, wananchi wanasema hawakusomi, hawakuelewi, na nitakueleza nilichosikia huku mtaani!

1. Suala la tozo za miamala
Wananchi wanakusikilizia tu waone utafanya nini, lakini wameanza kuona dalili za wewe kupiga konakona. Kuna kila dalili ya hasira ya wananchi kuwa kubwa zaidi maana wanaona unawafanya kama watoto wadogo wa kudanganyadanganya

2. Uonevu wa jeshi la polisi juu ya wapinzani
Ndugu rais, sasa badala ya kushawishi kwa hoja, serikali yako imegeuka ya mabavu. Raia kwenye vijiwe vya kahawa, magazeti ya asubuhi wanashangazwa na miguvu unayotumia, wanauliza unawapeleka wapi?, mbona kila siku polisi wanaokamatakamata wapinzani, wamefanya kosa gani?

3. Kwenye Chanjo watu wanakwenda na kauli ya Magufuli kuwa chanjo hazifai
Binafsi naamini umeleta chanjo kwa nia njema, umefuata ushauri wa kisayansi. Hata hivyo sayansi ni kitu kimoja na perception ya wananchi ni kitu kingine, wananchi mtaani wanaamini kuna hela ya mzungu umechukua na unatafuta justification. Na hoja ambazo raia wanasema ni kuwa mbona wataalamu waliotwambia chanjo hazifai miezi michache iliyopita ndo haohao leo wanatwambia zinafaa, huko kufaa kumeanza lini. Watu wanaukubali msimamo wa hayati kwenye suala hili na wewe wanakuona kama mabeberu wamekuzidi nguvu

4. Influencers na kundi lililokuwa likikuunga mkono hapo awali linakukimbia kwa kasi
Wapo wale waliosimama kukutetea kwa hatua zako nzuri kabisa mwanzoni mwa utawala wako, watu kama akina Askofu Bagonza, watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii. Leo hii wameanza kujidistance na wewe, wanasema mabaya unayoanza kuyatenda kwa kufanya utawala wa kimabavu kupitia jeshi la polisi yanafuta mazuri uliyoyatenda kwenye siku zako za awali za utawala. Wakati kundi hili likikukimbia, lile kundi linalomkumbuka hayati bado halijakukubali sana, kwa hiyo usipokuwa makini unapoteza uungwaji mkono wa umma hivihivi, Labda uegemeze nguvu zako kwa vijana wa Simon Sirro, lakini hao ni wachache hawafiki hata 50000 nchi nzima, Sijui utawezaje.

5. Miradi ya Hayati hata uisimamie na kuifanikisha vipi, wananchi wanampa credit hayati.
Japo kwenye hili mimi binafsi naona wananchi hawana hoja ya msingi kwa sababu serikali ni taasisi endelevu lakini ukweli ni kuwa huku mtaani bado hawajakuidentify na kitu chako binafsi
Mwanzo raia walisema labda wewe utakuwa mwanademokrasia, mtenda haki lakini mtu wa maendeleo, leo hiyo credit wamekuondolea kwa sababu ya ukandamizaji na uonevu serikali yako inayoufanya kwa wapinzani, lakini wakati huohuo hata miradi unayoendelea kuifanya (Kitu ambacho ni kizuri) raia wanakuona unakamilisha kazi ya Magufuli. Ukipokea ndege, wanasema ni Magufuli huyo, Raia hawajakuelewa wewe ni Magufuli asiye Magufuli, Au ni Muungwana asiye Muungwana?

Mwisho:
Ndugu rais watanzania ni wapole sana lakini wakikuchukia watakuchukia kwelikweli. TENDA HAKI NA EPUKA UONEVU ili ukistaafu wakukumbuke kwa wema la sivyo watakunyanyapaa sana, Haya madaraka huwa yanaisha na yanapita usijisahau sana!
Naunga mkono hoja, kweli kabisa huku mtaani kadili siku zinavyozidi kusonga, Raisi samia huugwaji wake unapungua kwa kasi sana.

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Alianza vizuri mno nikasema km ni kiongozi tumepata. Ila sasa hivi kapotea yani sitaki hata kusikia jina lake.
1. Tozo ya miamala(big failure)
2. Mbowe stuff
3. Vaccine issue/contraversial
4. Bei ya mafuta kupaa
5. Kulipa kodi ya ardhi via LUKU
6. Kuacha mawaziri na watendaji wa juu kujibu watu ovyo. Ref Mwigulu anaambia waTZ wahamie Burundi.
7. Kuwaaacha kina Mdee na covid19 wenzie bungeni

Sitegemei maajabu yoyote amalize tu muda wake akapumzike kwao.
 
Katiba mpya hataki hata kusikia wakati alikua kiongozi wa kamati ya katiba mpya. Mchumia tumbo tu
 
33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom