27072019
Senior Member
- Dec 16, 2019
- 116
- 141
1. Kuna wataalamu wa kuchukua mabeki tatu. Yaani hata aje beki tatu gani, anaye, yeye mademu wengine hana habari nao.
2. Kuna wataalamu wa kuchukua vicheche. Yaani kicheche kwake hapindui na hajisikii poa akiwa na mademu wa kawaida.
3. Kuna wataalamu wa kuchukua watoto wa geti, nyie mnawashindwa, mnasema wagumu, hawapatikani kirahisi lakini mwenzenu, kwake hawapindui.
4. Kuna wataalamu wa kuchukua wake za watu, mke wa mtu kwake, haki ya Mungu hapindui, wanakwambia wanapunguza gharama kwani huombwi hela.
5. Kuna mtaalamu wa kuchukua madenti, yeye na madenti tu, uwe form one, two yeye twende tu.
6. Kuna mtaalamu wa kuchukua mademu wakali, yeye kila demu anayekuwa naye, kisu balaa.
7. Kuna mtaalamu wa kuchukua mademu wabaya, anakwambia kapata demu mkali, ukimuona, sio kivile.
8. Kuna mtaalamu wa kufungua silidi za mtaa, yaani yeye wale watoto waliokuwa silidi, yeye ndio mfungua njia, hata mkimpa mtoto gani silidi amfuatilie, baada ya wiki anakwambia, "njia ipo wazi mnakaribishwa"
9. Kuna wataalamu wa kuhonga, haamini kama anaweza kumpata demu bila hela.
10. Wapo wale wanaochukua shemeji zao, yaani ukimtambulisha tu kesho demu anakuwa wa kwake.
11. Kuna wataalamu wa mkono wa birika...ukimpa demu jero na ukamwambia anakushangaa kwamba umewezaje kumpa demu jero, usingempa.
12. Kuna wazee wa mawindo, yaani wapo radhi watoke Tandale waende Magomeni kuwinda watoto wa Kipemba.
13. Kuna wazee wa sifa sasa, hao bwana anapiga picha na mastaa halafu anawaonyeshea mademu, ila hawachukui, yeye akiwaonyeshea karidhika.
2. Kuna wataalamu wa kuchukua vicheche. Yaani kicheche kwake hapindui na hajisikii poa akiwa na mademu wa kawaida.
3. Kuna wataalamu wa kuchukua watoto wa geti, nyie mnawashindwa, mnasema wagumu, hawapatikani kirahisi lakini mwenzenu, kwake hawapindui.
4. Kuna wataalamu wa kuchukua wake za watu, mke wa mtu kwake, haki ya Mungu hapindui, wanakwambia wanapunguza gharama kwani huombwi hela.
5. Kuna mtaalamu wa kuchukua madenti, yeye na madenti tu, uwe form one, two yeye twende tu.
6. Kuna mtaalamu wa kuchukua mademu wakali, yeye kila demu anayekuwa naye, kisu balaa.
7. Kuna mtaalamu wa kuchukua mademu wabaya, anakwambia kapata demu mkali, ukimuona, sio kivile.
8. Kuna mtaalamu wa kufungua silidi za mtaa, yaani yeye wale watoto waliokuwa silidi, yeye ndio mfungua njia, hata mkimpa mtoto gani silidi amfuatilie, baada ya wiki anakwambia, "njia ipo wazi mnakaribishwa"
9. Kuna wataalamu wa kuhonga, haamini kama anaweza kumpata demu bila hela.
10. Wapo wale wanaochukua shemeji zao, yaani ukimtambulisha tu kesho demu anakuwa wa kwake.
11. Kuna wataalamu wa mkono wa birika...ukimpa demu jero na ukamwambia anakushangaa kwamba umewezaje kumpa demu jero, usingempa.
12. Kuna wazee wa mawindo, yaani wapo radhi watoke Tandale waende Magomeni kuwinda watoto wa Kipemba.
13. Kuna wazee wa sifa sasa, hao bwana anapiga picha na mastaa halafu anawaonyeshea mademu, ila hawachukui, yeye akiwaonyeshea karidhika.