Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 200
katika gazeti la guardian la leo tar 09 nov 2010 mtaalamu wa uchumi mmoja amepigia chapuo sera za chadema za kuwa na serikali ndogo na akatoa takwimu ya jinsi serikali ya jk ya muhula wa kwanza 2005-2010 ilivyokuwa na gharama kubwa za uendeshaji kiasi cha kuathiri utoaji wa huduma za jamii na maendeleo kwa ujumla.