theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,636
- Thread starter
- #421
Sina uhakika sana wa bei maana dawa za mifugo awamu hii zimepanda sana, ila nahisi itakuwa kwenye 65,000 kwa chupa ya 50ml.asante sana. Looks this dawa is very expensive. How much does it cost in dar? Naweza kumchoma leo dose moja, then ingine nikatafuta ya bei nafuu Dar. I am in Tanga
300 x 5= 1500/120= 12.5 mls needed. Each meal is 2500 Tsh! .....12.5 x 2500= 31,250 Tsh. Vial nzima ya 50 mls is 75,000 Tsh
Pia inawezekana, ila kama inawezekana waweza mpa OTC 20% plus multivitamins hakikisha dawa ya OTC ni kutoka kampuni ya Norbook or Laprovet ndio effficacy inakuwa juu.