theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,636
- Thread starter
- #361
Hiyo ya macho kuvimba mara nyingi huwa ni infectious coryza na mara nyingi dawa ya enrofloxacin huwa inatoa matokeo mazuri zaidi...Du pole ningepata huu uz mapema. Wake doxcol kwa doz ya kijiko cha chakula kwa maji Lita 10. Pamoja na multivitamin kama farmvita. Yalikua mafua makali eidha yaliambatana na Kuku kuvimba macho, kukoroma n.k ko ilibid ubadili dawa.
Na kabla ya yote hakikisha unawasafisha macho vizuri kwa kutumia kitambaa safi ukiwa umeweka providone iodine kisha baada ya hapo weka otc wound powder katika macho then malizia na enrofloxacin katika maji...
Ila kwa yote zingatia usafi kuku wengi wanaopata mafua tatizo ni wewe mfugaji kuwa mchafu hasa maeneo ya ndani ya banda...
Kila la kheri i