Hello,
Kwa majina naitwa SOSOMA JAMES
Ni mtaalamu katika masuala ya kilimo niliyehitimu SUA.
Nina miaka 24 na niko na shida ya usikivu kwa mbali. Ninatafuta kazi katika masuala ya kilimo hasa uchunguzi na uzalishaji wa mazao mbalimbali mashambani.
Asanteni unaweza nicheki PM.
Kwa majina naitwa SOSOMA JAMES
Ni mtaalamu katika masuala ya kilimo niliyehitimu SUA.
Nina miaka 24 na niko na shida ya usikivu kwa mbali. Ninatafuta kazi katika masuala ya kilimo hasa uchunguzi na uzalishaji wa mazao mbalimbali mashambani.
Asanteni unaweza nicheki PM.