...(kama) unamfahamu mtaalamu wa mitishamba mwenye utaalamu huo tafadhali wasiliana na mimi
Mitishamba itibu ugumba? Hebu achana na mambo ya kijima.
Nendeni Hospital. Kuna dada mmoja alikuwa na tatizo la kutopata ujauzito na hedhi sumbufu. Alishauriwa kwenda Agha Khan japo gharama kidogo. Mwisho wa siku vipimo vikaonyesha mirija ilikuwa imeziba. Baada ya kutumia dawa alipata watoto.
Hao wa mitishamba wataishia kufanya trials and errors tu. No guarantee mazee.