Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Jamaa kazoea kuwarusha mabinti wa watu ukuta sasa naye anawaota hao warembo nao wakimrusha ukuta kwa kutumia dildo..........................lol...........................anadhani ni popo bawa..........................................kumbe hakujua mwosha naye huoshwa tu hakuna jinsia.......hapo hakuna kigeugeu..................akiwa usingizini anajikuta Muumba anamwuliza maswali ya kuwa........... hivi ingelikuwa yeye anafanyiwa huo unyama angelijisikiaje.................kwa hiyo analetewa ndoto jinamizi kila usiku akilala...........ili aipate laivu..............na sasa amechanganyikiwa.....................nafikiri bila kuacha haka kamchezo atataharuki hivi karibuni............................
unaonaje hapo?
unaonaje hapo?