Mtaalamu wa kilimo;uliza ujibiwe.

Nahitaji msaada kidogo kuhusu kilimo cha mpunga, aina ya mbegu, upandaji, usimamizi mpaka uvunaji pamoja na gharama yake kwa heka. Hata kama utasuggest machapisho, video au vyanzo vingine navyoweza kupata taarifa hizi utakuwa msaada mkubwa
upo wilaya gani? tuanzie hapo.
 
ugonjwa wa mnyauko wa nyanya huweza kusababishwa na wadudu wengi sana na mmoja wao hujulikana kama Ralstonia solanacearum ambao kibongo bongo wamekuwa ni tatizo kubwa sana kuwaangamiza lakini njia zifuatazo huweza kupunguza kama si kumaliza kabisa tatizo la mnyauko wa nyanya.
Kwa kutumia bleaching powders ambao huwa ni mchanganyiko wa soil disinfectants na chokaa ambayo huweza kutumika kwa kiasi cha kilo 30 kwa hekta na huwa mbolea kwa namna moja na kiua vinyaushi kwa upande mwengine.
lakini muda mwingine mnyauko huweza kusababishwa na fungi/kuvu waitwao Phytophthora infestans hawa huweza kuuliwa kwa kutumia dawa kama ivory72,success n.k.
asante
Atumie confidor WG from bayer life science
 
ugonjwa wa mnyauko wa nyanya huweza kusababishwa na wadudu wengi sana na mmoja wao hujulikana kama Ralstonia solanacearum ambao kibongo bongo wamekuwa ni tatizo kubwa sana kuwaangamiza lakini njia zifuatazo huweza kupunguza kama si kumaliza kabisa tatizo la mnyauko wa nyanya.
Kwa kutumia bleaching powders ambao huwa ni mchanganyiko wa soil disinfectants na chokaa ambayo huweza kutumika kwa kiasi cha kilo 30 kwa hekta na huwa mbolea kwa namna moja na kiua vinyaushi kwa upande mwengine.
lakini muda mwingine mnyauko huweza kusababishwa na fungi/kuvu waitwao Phytophthora infestans hawa huweza kuuliwa kwa kutumia dawa kama ivory72,success n.k.
asante
Chokaa nmejaribu vya kutosha hamna kitu nimepiga madawa mengi na hio ivory 72 ivory 80 lakini tatizo lile lile linaendelea hakuna dawa ambayo inatibu ardhi?
 
Mimi ni muwekezaji mdogo natafuta wakulima ambao tutafanya nao ubia, mimi natoa cash na business planning. Yeye ana manage plantation. Base on return tunagawana in agreeable terms.
 
Mimi ni muwekezaji mdogo natafuta wakulima ambao tutafanya nao ubia, mimi natoa cash na business planning. Yeye ana manage plantation. Base on return tunagawana in agreeable terms.
mimi nina watu waaminifu,wachapakazi na wenye uwezo wa kusisimamia na wenye utaalamu kama upo tayari ni pm.
 
eka moja ya mahindi katika wilaya ya kilosa inaweka kutoa magunia mangapi kwa kiasi cha chini kabisa ikitoka ikatunzwa vizuri na mbegu nzuri?
kama utatunza vizuri unaweza kupata zaidi ya gunia 15 yenye ujazo wa debe 6(standard),na kama upo kilosa unaweza ukaenda hapo ILONGA Research institute ili kupata mbegu zisizo chakachuliwa.
 
kilimo cha michikichi kinakubali katika mikoa ipi hapa Tanzania? unautaalam wa business plan za mazao ya biashara?
 
Ni njia ipi nzuri ya kupandikiza miche ya vitunguu, kumwagia maji vijaruba kisha kupandikiza au kupandikiza ndo kumwagilia maji?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom