Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

1544363372236.png

TEETH WHITENING NASI TUTABASAM NA KUKENUA KWA UHURU NA CONFIDENCE
 
Dr nimepima Stool na damu kubwa nikakutwa na minyoo na Madonda ya tumbo(HP....positive) nimepewa rundoo la madawa....
1-albendazol.400mg
2-azithromycine 500mg.bid10/7.
3-esomeprazole 20mg
4-metronidazole 400mg bid 10/7
ni siku ya pili natumia...
swali...1- dose ni dawa???
2-kuna haja ya dose ya vitamin...???
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.








Nasumbuliwa na kidneystones imeshanisumbua muno. Nisaidie
 
Mi nasumbuliwa na miguu kuuma hasa usawa wa nyayo Hadi kuja kwenye eneo la zinapoishia soksi ila kwenye pads miguu inachoma choma Sana,hasa nikikaa muda kidogo ni Kama damu haiendi vizuri,mzoezi nafanya Sana but hakuna tofauti,moyo nimepima kipimo cha echo na cgm nadhani Kama sijakosea hakuna tatizo linaonekana
Je naweza pata tiba yake
 
Mimi nina shida moja mwili unawasha sana hasa nikitembea sehemu za baridi nikapigwa na kaupepo nawashwa hadi nataka kulia sijajua tatizo nn au dawa msaada
 
Naomba msaada nilianguka uwanjani nakaangukia mkono mwezi sasa umepita kwenye maungio ya mkono na kiganja nikaenda hospital nikawekewa p.o.p Jana nikatolewa p.o.p lakini mkono umetoka tofauti umepinda na unaumba nikiufanyisha kazi chini appo no X ray na mkono ulivo kwa sasa
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.








Screenshot_20181220-152951.jpeg
IMG_20181220_104509.jpeg
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.








Samahi mkuu naweza pata namba yako nashida kweli
 
43 Reactions
Reply
Back
Top Bottom