Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Msaada:
Nina mtoto ana umri wa miaka saba anasumbuliwa na vipele mwili mzima amejaribu dawa nyingi za hispitalini lkn hazijamsaidia na ana kama miaka miwili sasa vinamsumbia.
Mara nyingi vinakuwa kama chunusi hivi haviwashi wala havitengenezi usaha kama upele wa kawaida lkn vimekuwa haviponi akijatibu kuvikamua vinatoa vidude vyeupe km chunusi na vunakuwa vinatanda mwilini kama ulezi vile, haijalishi ni wakati wa joto au baridi maana mwanzoni nilidhani ni vipele vya joto kwa kuwa nakaa Dar es salaam lkn hata wakati wa baridi vimekuwa tatizo.
Ametumia dawa tofauti tofauti mda mrefu sasa bila mafanikio hadi sasa namuonea hutuma.

Naomba msaada wa tiba au shauri namna ya kufanya hata kama ni kwa daktari unaweza nielekeza kwa hospitalini Amana nimetoka juzi tu nilivyowaonyesha dawa alizowahi kutumia wakasema na wao wangempa hizo hizo ndipo wakanipiga tarehe hadi tarehe 10/10/2018 kumwona Daktari lakni kama kuna mbadala kabla ya tarehe hiyo naomba msaada.
 
Msaada:
Nina mtoto ana umri wa miaka saba anasumbuliwa na vipele mwili mzima amejaribu dawa nyingi za hispitalini lkn hazijamsaidia na ana kama miaka miwili sasa vinamsumbia.
Mara nyingi vinakuwa kama chunusi hivi haviwashi wala havitengenezi usaha kama upele wa kawaida lkn vimekuwa haviponi akijatibu kuvikamua vinatoa vidude vyeupe km chunusi na vunakuwa vinatanda mwilini kama ulezi vile, haijalishi ni wakati wa joto au baridi maana mwanzoni nilidhani ni vipele vya joto kwa kuwa nakaa Dar es salaam lkn hata wakati wa baridi vimekuwa tatizo.
Ametumia dawa tofauti tofauti mda mrefu sasa bila mafanikio hadi sasa namuonea hutuma.

Naomba msaada wa tiba au shauri namna ya kufanya hata kama ni kwa daktari unaweza nielekeza kwa hospitalini Amana nimetoka juzi tu nilivyowaonyesha dawa alizowahi kutumia wakasema na wao wangempa hizo hizo ndipo wakanipiga tarehe hadi tarehe 10/10/2018 kumwona Daktari lakni kama kuna mbadala kabla ya tarehe hiyo naomba msaada.
Hali halisi ndio hii aliyonayo.
IMG_20180923_071944.jpg
 
Dawa ya maumivu makali ya kiuno nyuma ya mgongo. maeneo ya nyonga kwa mwanaume.. ni makali sana anapafa binamu yangu hadi kaambiwa astop sex kwa muda hadi? apone je atapona lini kwani mke, wake ana muhitaji.. nisaidie please jamani binamu yangu anateseka sana kwa maumivu hayo ...
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.








 
Write your reply... kwa aliepata chuo cha ustawi ngazi ya cheti na anahitaj chumba karibu na chuo cha ustawi wa jamii bamaga ni sehemu yenye usalama sana
 
Naomba kujuzwa kwa mtu aliyejifungua akapata tear 3rd degree baada ya muda mfupi nyuzi zikafumuka akarudishwa hospitali akafanyiwa perineal tear repair baadae kukawa kidonda kwa bibi kikatibiwa kwa muda wa zaidi ya miez 2 kikapona
je mtu huyu anaweza pata mtoto mwingine kwa kujifungua kawaida na asipate madhara?
 
Nilitaka kujua ugonjwa wa warts genital unatibika kwa dawa za kunywa tofauti na dawa ya kupaka? kama dawa za kunywa ni zipi na matumizi yake yakoje na nikutokana na hali ya warts ulizonazo au vp?
 
Back
Top Bottom