Dr. Sajjad Fazel
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 435
- 416
- Thread starter
- #901
KUNA MADHARA YOYOTE KWA MSICHANA/ MWANAMKE AMBAE HAJAZAA KUFANYA MAZOEZ YA KUKATA/ KUPUNGZA TUMBO?
Hapana. Hakuna madhara yeyote ukifanya mazoezi.
KUNA MADHARA YOYOTE KWA MSICHANA/ MWANAMKE AMBAE HAJAZAA KUFANYA MAZOEZ YA KUKATA/ KUPUNGZA TUMBO?
Habari za kazi Dr.
Kwanza nitangulize shukrani kwa ushauri wa dawa ya miwasho. Dawa nimeipata na naitumia kwa wiki sasa na nitakupa mrejesho wa maendeleo yangu baada ya mwezi 1 kama ulivyonielekeza.
LEO NAOMBA USHAURI JUU YA TATIZO LA MIGUU CHINI YA MAGOTI KUWAKA NA KUUMA. TATIZO HILI NINALO KWA MIAKA 2 SASA NA HALI INAKUWA MBAYA SANA NINAPOKAA KWA MUDA MREFU SEHEMU MOJA HASA WAKATI NIKIWA SAFARINI AU HATA KWENYE DALADALA.
MWAKA JANA AUGUST NILIENDA HOSPITAL NIKAPEWA NEUROBIN KWA MWEZI MMOJA PAMOJA NA AINA ZINGINE, NASHUKURU NILIPATA NAFUU KIDOGO ILA SASA HALI INARUDI TENA.
NAOMBA KUJUA HILI NI TATIZO GANI NA NAWEZA KUTUMIA DAWA GANI KULITIBU?
Asante sana.[/QUO
Duu nmi nina tatizo kama lako ila mimi ni nyonga zote ila zaid upande wakushoto nimesumbuliwa na tatizo tango mwaka 2011,
tatizo lilianza mara baada ya kupewa dawa aina ya doxaxlyne kutokana na tatizo la maumivu makali ya tumbo pindi niwapo period,
dawa niliambiwa nimeze 2x2 kwa cku nilipofika cku kama ya tatu hiv nyonga ya kushoto iliuma sana hadi nikawa cwezi kujigeuza kitandani wala kutembea bila msaaadaaa
nikaacha dawa zile nikaanza kutafta tiba ya nyonga ...
nimetumia dawa nyingiii na tofauti za hosptl na kienyeji napata nafuu ya muda mfupi tu then tatizo linarud
mwaka jana mwishoni tatizo lilianza tena maumivu yakawa makali kama ya mwazn ikabd niende tena kwa dr wa mifupa. nikapigwa x-rays na kuambiwa nina shida kwenye uti wa mgongo yaan upo very straight badala ya kubend na shingo vlevle imenyooka niliana matibabu kwa kutumia dawa kadhaa kama vile; pligabline,neurobin, flux... n.k 9samahan kwa kuandika dawa kimakosa c unajua fan za watu) na mazoezi juu, dawa nilianza kutumia tarh 4/1/2017 mpaka 3/2/2017 maana nyingi ni za cku 30.
ila baada ya hapo tatizo kama bado linajirudia maana kuna muda nahic maumivu makali
msaaada wako dr plz nifanyeje au nitumie dawwa gani ili nipone kabisaa? na je naweza kupata mtoto(kushka ujauzito) kwa tatizo nililonalo
Amekimbia haleti majibuukipewa dawa nami unipe
pole yetu mkuuAmekimbia haleti majibu
Na wewe hao fangasi wamekuingiaje mdomoni.......shuwaini.......nyie ndio mnafanya magonjwa hayaishi kwa kuyaamisha kutoka sehemu za siri kuja mdomoni.....sasa unaona fedheha ya starehe za kulambana sehemu za siri especially za mwanamkeDawa ya fangasi wa sehemu za siri walioingia mdomoni au kwenye ulimi na kuleta hali kama mtu aliyeungua uji au chai kwenye ulimi lakini hakuna maumivu hata kidogo.
Aaaaaah jibuu zuri mkuuuNa wewe hao fangasi wamekuingiaje mdomoni.......shuwaini.......nyie ndio mnafanya magonjwa hayaishi kwa kuyaamisha kutoka sehemu za siri kuja mdomoni.....sasa unaona fedheha ya starehe za kulambana sehemu za siri especially za mwanamke
Karbu kutumia deodorant kwa wingiNaomba nisaide haya matatizo dokta.
1)Kunuka mwili/ngozi hata kana umeoga kwa mda huohuo.
2)uke kutoa harufu mbaya hata ukisafishwa muda huohuo.
Kiongozi,
Mama yangu anasumbuliwa na fangasi sugu yaani ziko mguuni, zinatoka maji na baadaye vidondo vinavyopelekea mtoki, kwakweli msada wako unahitajika Sana.
Aliwahi kwenda hospital wakapandikiza zile nyama za fangasi lakini wapiii, zinakuja na kupotea.
Msaada wako.