Tumia dawa hii: Diprosalic Ointment pakaa kutwa mara mbili kwa mwezi moja alafu nipe
Mrejesho.
Asante nitaitafuta na nitakupa mrejesho baada ya kuitumia.
Tumia dawa hii: Diprosalic Ointment pakaa kutwa mara mbili kwa mwezi moja alafu nipe
Mrejesho.
asante sanaKwa kweli hizo mkanda hazisaidi chochote. Mazoezi Na ulaji bora pekee ndiyo njia ya kupunguza Tumbo.
Hearing impaired for almost 13 yrs nw, help me to hear the beautiful sounds of this world plz.......Natoa Elimu ya Afya Bure kila Jumamosi saa 3:00 mpaka saa 4:00 asubuhi kwenye Twitter. Elimu haina mwisho
Mkuu kuna gastritis na ulcers ñdio hapo sasa......ila kama ni gastritis tu tumia omiprazol itakusaidia.Nilipima hyperol hawapo na nikapima vidonda vipo
Hizo nimetumia sana mkuuMkuu kuna gastritis na ulcers ñdio hapo sasa......ila kama ni gastritis tu tumia omiprazol itakusaidia.
Dr Mke wangu anatatizo la ganzi ya miguu.na tatizo hili alilipata baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji mkubwa.tulipoludi kwa dr aliyemfanyia upasuaji alimuandikia dawa lakini hazijamsaidia sana bado tatizo lipo tafadhar msaada wako dr.
Alimuandikia Nyurotoni pekee.Tafadhali niambie dawa aliyomuwandikia kwaajili ya ganzi
Acha Hizo,Medication (Prescription) haifanyiki Kwa Kusikiliza Maelezo tu Mtandaoni bila Kuonana Na MTU na Kujua Physical exams,History yake Ndef EtcUshauri wangu:
1. Rabeprazole 20mg, Kunywa kidonge kimoja kila siku asubuhi kwa muda wa miezi moja.
2. Punguza kula pilipili na vyakula vyenye pilipili au viungo vingi (spices).
tupo wengi kumbe.nimetulia nisome majibu ya posti za wenzangu kwanzaDuh,mkuu tatizo lako km langu,nna miaka zaidi ya kumi linanisumbua,,kingine mi nikipata harufu Kali ya petrol au moshi was cigarette au either nguo mpya,nakohoa balaa,unaweza sema nakufa muda simrefu,ili nipate nafuu nikihisi nijiwai kupooza kwa kunywa maji ,msaada. Doctor
dr.mbona tunashauriwa kutoingiza chochote sikioni na ni vema kwenda kusafishwa hospitali je hii imekaaje ajisafishaje?Asante kwa furaha yako mkuu. Kwa tatizo hilo la Tinnitus, ushauri wangu ni yafuatayo:
1. Safisha sikio na ondoa uchafu yeyote ndani ya sikio.
2. Inaweza kuwa unachukua dawa inayosababisha hiyo tatizo.
3. Kuna watu wengine sauti ya pangaboi na A/C inasaidia kupunguza sauti ya Tinnitus.
4. Kwa kupunguza pombe, eneo yenye sauti nyingi na mawazo (stress) itasaidia kupunguza sauti.
5. Tafadhali chukua multivitamins yenye Zinc kama Zincovit, kidonge kimoja kila siku kwa muda wa miezi moja.
PROF MAJINGE DCMC DODOMADr nakuomba kwa maelekezo yako uliyonipa na mizunguko niliyozunguka kwa matabibu nashindwa ni dr yupi ndio bingwa wa matatizo ya uzazi kwa wanawake naomba kwa msaada wako niambie nimuone dr gani au hospital gani ambayo naamini kwangu sasa itakuwa ni fainal
DR NAPENDA KUTHIBITISHAZA ASBUHI WANA JF
KUNA MADHARA YOYOTE KWA MSICHANA/ MWANAMKE AMBAE HAJAZAA KUFANYA MAZOEZ YA KUKATA/ KUPUNGZA TUMBO?ZA ASBUHI WANA JF
ukipewa dawa nami unipeNataka niache kudindisha