Naomba nikutie moyo mkuu....ni kweli hiyo hali huwa inatukuta hasa kile kipindi cha ukuaji,binafsi hii hali ilinisumbua sana mpk nikaona kama ninamapungufu labda na nilijitahidi sana kutumia dawa nyingi bila mafanikioNna tatizo la chunus nimeenda Hosp nimepew vidonge acnotin 10 na acne free cream nna siku ya 20 Leo ila machunus yamezidi uso haufai pia mi ni ni mweus basi ukiniangalia nimezidi kuwa mweusi Mara tatu yake je nikawaida au vipi?