Mtaalamu: Siyo kweli bandari ya Dar haiwezi kupokea meli inayobeba makontena 50,000. Kwanza meli hiyo haipo duniani

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,873
Mtaalamu wa mambo ya meli na bandari amesema siyo kweli kwamba bandari ya Dsm ina uwezo wa kupokea meli kubwa yenye uwezo wa kubeba makontena 50,000 kwa mara moja.

Mtaalamu huyo aitwaye Julius amemweleza mtangazaji Aloyce Nyanda aka Mtozi wa kipindi cha Ajenda 2020 kwamba taarifa hizo siyo sahihi na zina lengo la kuidanganya mamlaka ya juu.

Kipindi kko hewani muda huu mubashara luningani Star tv.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
 
Mtaalamu wa mambo ya meli na bandari amesema siyo kweli kwamba bandari ya Dsm ina uwezo wa kupokea meli kubwa yenye uwezo wa kubeba makontena 50,000 kwa mara moja.

Mtaalamu huyo aitwaye Julius amemweleza mtangazaji Aloyce Nyanda aka Mtozi wa kipindi cha Ajenda 2020 kwamba taarifa hizo siyo sahihi na zina lengo la kuidanganya mamlaka ya juu.

Kipindi kko hewani muda huu mubashara luningani Star tv.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Kontena pia hazina vyama, tambua hilo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ieleweke kuwa meli ikiwa na uwezo wa kubeba makontena 5000 siyo yote yanashushwa bandari ya Dar es salaam bali inamaanisha aina,ukubwa, na uwezo wa meli kulinganisha na miundombinu ya bandari.
 
Na ieleweke kuwa meli ikiwa na uwezo wa kubeba makontena 5000 siyo yote yanashushwa bandari ya Dar es salaam bali inamaanisha aina,ukubwa, na uwezo wa meli kulinganisha na miundombinu ya bandari.
Ndio maana yake!

Ni 50,000 siyo 5000
 
Back
Top Bottom