Mtaalam: Watanzania mnadanganywa Stiglers Gorge haiwezekani kwani Kina cha Maji Mto Rufiji kinapungua mno

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,052
107,535
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.
Tujadili.
Huyo mtaalamu atakuwa antumika na mabeberu
 
safi mtoa hoja na kama serikali yangu inaamini kuwa huu mradi umefanyiwa utafiti wa uhakika kwa nini wasiweke hadharani(kama ipo)ripoti inayohusiana na mazingira yataathiriwa vipi kutokana na mradi huu?
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
Huu mradi ametolea ushauri kama mtaalamu sawa, atwambie umeme wa gas alishaulije kipindi kile unashupaliwa na sospeter mhongo kuwa ni mwarobaini wa umeme nchini mpaka Leo haieleweki
 
Kwenye wengi pia kuna mengi. Kuwalazimisha wote waone kitu kimoja sawasawa na anachokiona yule, ni ndoto.
Watu zaidi ya m50 wafikiri na wakubali mawazo ya mtu mmoja tu, ni ndoto pia. Ndo maana wanatumia nguvu kubwa sana kujaribu kila mmoja wetu aamini kwamba hii ni 6 wakati upande wapili wao wanaona 9.

Kosa kubwa sana la kikatiba mumrundikia madaraka mengi hivyo na kinga yote hiyo mtu mmoja tu kati ya zaidi ya watu m5 na Nchi kwa ujumla.
 
Asante Mtaalamu kwa Ushauri,sasa bwana mtaalamu kwanini ushauri huu haukuutoa mapema wakati project tu imeanzishwa?,why now?
kwa sasa tunaomba uwaachie wataalam wenzio waendelee na kazi kwani tulipofika ni pazuri ngoja wamalize halafu tutaruhusu maoni baadae😁
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
Mjinga unaweza kumwelimisha akaelimika ila mpumbavu................!
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.
Tujadili.
unaongelea River Rejuvenation ww unaejiita mtaalam,mbona hiyo ni constant sana duniani kote,kubadilika kwa kina cha maji ya mto husababishwa na sababu nyingi,pia kubadilika huku kinaweza kukawa kwa msimu,mwaka,au hata miaka kadhaa,pia kubadilika huku sio lazma iwe kupungua tu kwa kina cha maji,kina kinaweza kikaongezeka pia,sasa kwann hujawaza kuhusu sababu zilizopelekea kupungua zikibadilika na kuwa sabab zitakazoongeza kina cha maji ktk bonde la mto Ruaha????toa sababu nene ww mtaalam,kama haya ni mawazo ya kitaalam bas kupitia ww jamii tuamini kuwa tuna wataalam wa hovyo sana
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom