Mtaalam: Watanzania mnadanganywa Stiglers Gorge haiwezekani kwani Kina cha Maji Mto Rufiji kinapungua mno

" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
Nadhani tatizo si washauri. Tatizo ni Magufuli mwenyewe
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
Utatekwa
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
Tatizo nyie mawakala wa gas mnaona mnachelewa kupata chenu,
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
Kiongozi wa kumshauri yuko wapi ?! Mungu atende miujiza ndiyo salama ya Tanganyika not otherwise
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.


Utakuwa umetumwa na manyangau na mabeberu? Waambie tunaendelea
 
Habari zakishambenga hizii, mkiitwa wachochezi mnalialia..

Wewe jitu zima unaleta habari za saloon kwenye jukwaa la watu wenye kifikiria, kuchanganua na kujifunza..

Mod futa huu uzii hauna vielelezo vyovyote zaidi ya uchochezi na kudhalilisha jukwaa
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
hilo halihitaji mtaalamu kubaini hilo. mito yote dunian inazidi kupungukiwa na kina cha maji. kwasababu ya global warming. ni mpumbavu tu anaye weza kuwekeza kwenye uzalishaji wa umeme wa kutumia maji. sasa hivi nchi zote dunia zinaachana na umeme wa mapromoko ya maji. tanzania tuna gas na juwa la kufa mtu mwaka mzima halafu bado watu wenye mawazo mgado wanaona stingiler gorge ndio njia bora y kuzalisha umeme!!
 
Huu mradi ametolea ushauri kama mtaalamu sawa, atwambie umeme wa gas alishaulije kipindi kile unashupaliwa na sospeter mhongo kuwa ni mwarobaini wa umeme nchini mpaka Leo haieleweki
Kama kuna mtua anaamini kwamba umeme utatatuliwa na stiglers' atakuwa mgonjwa. There is a lot into it aseee
 
Watanzania hawana tatizo. Dawa ya usingizi waliyochomwa haiishi leo, kesho wala kesho kutwa.
 
unaongelea River Rejuvenation ww unaejiita mtaalam,mbona hiyo ni constant sana duniani kote,kubadilika kwa kina cha maji ya mto husababishwa na sababu nyingi,pia kubadilika huku kinaweza kukawa kwa msimu,mwaka,au hata miaka kadhaa,pia kubadilika huku sio lazma iwe kupungua tu kwa kina cha maji,kina kinaweza kikaongezeka pia,sasa kwann hujawaza kuhusu sababu zilizopelekea kupungua zikibadilika na kuwa sabab zitakazoongeza kina cha maji ktk bonde la mto Ruaha????toa sababu nene ww mtaalam,kama haya ni mawazo ya kitaalam bas kupitia ww jamii tuamini kuwa tuna wataalam wa hovyo sana
Hata mimi mbumbu nisiyesoma haiingii akilini eti maji yote yaliyoenda Baharini tangu Dunia iumbwe hayawezi tena kujaza hilo Bwawa
Basi mafuriko tutarajie
kuna wataalamu vichwa mbuzi kwanini asitoe sababu? maji ya Mtera na Kidatu yanageuza kwenda Victoria au Malawi?
 
.. This is the project na sio maji tu yanajiendea kuendesha water turbines, maji mengine yakishatumika unaweza kuyareciycle yakatumika tena na tena kupitia hizo storage dams..


Wewe unaweza kuelezea kitaalamu jambo hilo.
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
Mtaalamu feki huyo. Hata ile kazi ya kuchora twiga kwenye ndege walileta wataalamu feki na makadirio feki JPM akawatinua.
JPM songa babaaaaaaa!
 
Kwa hiyo mtaalamu anashauri nini? Ongea naye aweke mawazo mbadala baada ya kuahirisha ujenzi wa STIGLERS GORGE. Kama wewe ndio mtaalamu umekuja na ID fake funguka pia ili tupime mawazo na ushauri wako kwa serikali
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
Huyo mtaalam wa mafichoni anachosaidia ni kumchangia mello basi.
 
Kwa kipindi hiki ambacho dunia inakabiliwa na janga la uharibifu wa mazingira unaochangiwa na mabadiliko ya tabia ya nchi haihitaji utafiti kujua kuwa vyanzo vingi vya maji vinaelekea mwishoni
 
Back
Top Bottom