CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Jumatatu Tarehe 9/03/2020 Kuanzia saa tano Asubuhi Mwenyekiti wa CUF Prof. Lipumba atafanya mazungumzo ya ANA KWA ANA kupitia kipindi cha KONANI.
Mwenyekiti wa Chama CUF Mtaalam wa Maswala ya Uchumi Duniani.
Konani Mubashara kupitia Mitandao ya kijamii ya ITV Facebook ITV TANZANIA na YouTube ITV TANZANIA.
USIKOSE...
Mwenyekiti wa Chama CUF Mtaalam wa Maswala ya Uchumi Duniani.
Konani Mubashara kupitia Mitandao ya kijamii ya ITV Facebook ITV TANZANIA na YouTube ITV TANZANIA.
USIKOSE...